Ndugu wanajukwaa kwa mwenye Key za program ya toshiba driver detective naomba ani2mie,ninaihitaji ili niweze kuitumia hii program kuinstall wireless Driver​ kwenye toshiba satelite C850-F01N
Waku heshima iwe kwenu tafadhali naomba mwongozo kwa anayefahamu wapi nitakapoweza kupata screen ya samsung galaxy note 2 na kinauzwaje tafadhali naomba msaada wenu.
Ninatumia camera ya simu "BB 9380" kwa kuweka kumbu kumbu zangu,tatizo picha nyingi hazifunguki.Ninatumia memory card ya GB 2 na nimei scan mara kadha lakini tatizo lipo palepale.
Ninawezaje ku...
Imevunjika screen lakini inawaka vizuri haina tatizo lengine.
specification zake ni
Intel centrino 2.0ghz
160gb hard disk
2gb ram
Combo drive
wifi
built in moderm
14'1 LCD screen
3 hrs batry...
Wakuu!
Hivi inawezekana kudesign normal websites using html,css, and php then niweze pia kuendelea kubadili muonekano wake kwa kutumia wordpress? Yaani mfano niweze kuweka header, footer, menu...
Updates
=============================<<<===<<<<<<<<<<<<<<=======================================
jaman nashndwa ku attach screenshot but net imo poa so akina tomaso nimewawakulisha vema anzen...
Uhalifu huu wa internet unafanywa kwa mtu/ kampuni /taasisi kutumiwa email yenye software hataria mbapo wakati email inasomwa software inarun underground na kufungia mafaili yako yote. Kisha...
Hi all,
Nimefanikiwa kufollow instructions na nimeweza kuroot my s3 sasa how to upgrade my software to 4.3 maana sasa iko 4.1??? also i could use some advice kuhusu benefit zingine ninazoweza...
Najua kuna wataalamu wengi sana hapa wa PD proxy....Ila kumbe kujua mengi si kujua kila kitu..... I have a simple trick it works like Charm... unfortunately sita mwaga hapa wala kwa PM so don't...
Im just in love with this new JF's new User Interface(UI) kwa sisi wa Android, pamoja na added features, ziko very cool. Maoni yenu yakoje members?
Shukrani na pongezi kwa developers
FBI Can Spy Through Your Webcam WITHOUT Turning On Indicator LightFBI Can Spy Through Your Webcam WITHOUT Turning On Indicator Light
Many have suspected it, but now it has been officially revealed...
mwenye link au mwenye nayo naomba anipatie jamani, window yangu inaleta ujumbe kuwa its not guinine, so i just want to remove it ( kuifanya iwe genuine)
shukrani sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.