Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Baada ya kufanyia majaribio kwa mwezi mzima, na kujiridhisha. sasa nimepata njia ya uhakika ya kula bata wa free internet bila ya kulipia kila mwezi. wireless hii inapatikana karibu maeneo yote...
12 Reactions
48 Replies
6K Views
Wadau naomba kwa yoyote anaejua ku-unlock digital satellite receiver (MEDIA COM MFT-930 PLUS) anisaidie
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Habari. naomba msaada wa kujua namba ya simu hii kama ni ya Tanzania au ni matapeli kwan nimkuwa nikipokea sms kuwa huyo mtu ananipenda na anataka kuja Tz kuwekeza biashara na mimi. Nimekuwa...
0 Reactions
27 Replies
5K Views
there is so much information in this video, you must watch if you can afford http://youtu.be/-JOXUNX66Cs credits: colfusion (youtube) ikiwezekana mods iweke sticky
0 Reactions
4 Replies
959 Views
wapendwa naombeni msaada wa kupata chanell za bure, me mpunga umenikatikia. nackia kuna maujanja wapendwa najua hapa c mahara pake ila naweza pata msaada. tafadhar mwenye unjanja huu anipe tafu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba msaada jinsi ya kuondoa application ya gmail kwenye samsung s 1.
0 Reactions
0 Replies
767 Views
waungwana kuna blackbery natumia ila nktuma text inaandka error so haitumi pia nlchange line na net inagoma kabsa kukonect. help your cousin here
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Habari ndugu ,jamani naweza kupata code keys za kaspersky?.
0 Reactions
12 Replies
4K Views
PC yangu nikiweka Cd nasikia ikizunguka but haiplay wala kuonyesha sign yoyote kama nimeweka Cd, Then hata nikitoa Cd sioni option ya DVD player kwenye PC kama ilivyo kuwa awali...Ni hayo tuu wana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naombeni frequency za tbc 1. kama zipo.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari wakuu?natumia huyo mchina hapo juu.sasa nikitaka Kutuma email yenye attachment ya km word ,excell etc.inaniletea options za kuapload Picha na miziki tu.naombeni software inayoweza sahihisha...
0 Reactions
0 Replies
692 Views
5KV SOLAR SYSTEM COST AND POWER DELIVERENCE ESTIMATION Nataka kuwa na solar system ambayo itaweza kunipa independent power supply (AC) ya kati ya saa 8 hadi 12, natakiwa kuwa na: Solar...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Simu yangu aina ya Samsung galaxy W i8150 imeformat pics zote na songs na baadhi ya files. Please naomba mwenye kunisaidia kufanya backup au ndo imeshatoka tayari?
0 Reactions
4 Replies
760 Views
Nyoka wanaoweza kupaa angani wanafanyiwa utafiti kujua wanapaa kwa nguvu ipi. Source: CNN 24/Nov/2010
0 Reactions
16 Replies
9K Views
wakuu mi nna HTC desire V , sasa huwa kila nikiwa kwenye net na ninapotakiwa ku-sychronous information flan flan hasa kuingia kwenye facebook inazingua na kusema " Please authorize HTC sense to...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau za asubuhi,LEO napenda kuzungumzia hii kampun ya simu NOKIA ambpo ni siku chache tu baada ya kampuni hyo kuuzwa ila wametoa simu mpya aina ya 515ambayo kiukweli ni ya gharama sana US158...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Samahanini wakuu, nimenunua kisimu cha nokia kwa mtu{nokia6300}, lakin nikaweka pin code za nokia ila ni badil, lakin inaone zilishwa badilishwa na mwenye simu hazijui. Je ipo njia ya kui restore...
0 Reactions
3 Replies
880 Views
Nimetumia Kaspersky ya 2012 kwa mwaka mmoja. Nafikiria kubadirisha na kutumia Norton sasa maana Kaspersky naona ipo slow sana, hasa pale ninapowasha computer. Any experience with Norton? nisije...
0 Reactions
2 Replies
961 Views
News BlackBerry pauses global rollout of BBM for Android, iOS citing leak Kunal Dua, September 22, 2013 The much anticipated release of BlackBerry Messenger (BBM) for Android and iOS hit a...
0 Reactions
4 Replies
897 Views
Nikizima simu kwa mda alafu nikiiwasha inaleta ujumbe huu ``UNFORTUNETLY LOUNCHER HAS STOPPED" naomba msaada wa kujua nini cha kufanya kurekebisha tatizo ili.asanteni
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom