Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
naombeni msaada pc yangu inatumia window 7 tatizo imibadilisha ikon na ukufungua software yoyote inafunguka window media center na hakuna chochote kuhusu ile software niliyo fungua kina tokea...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Karibu kila e-mail inayotolewa na makampuni/tasisi kwa ajiri ya application, zinajibu PARMANENTLY FAILED,, shida inakuwa ni nin??
0 Reactions
0 Replies
878 Views
naomba yeyote mwenye program ya printshop jamani anisaidie.
0 Reactions
0 Replies
669 Views
habari wakuu. Naomba kwa anaejua anisaidie. Simu ni mpya niki access internet haikubali. Pls i need ur help. Thanx in adv.
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Nina kasimu kangu lakini sio ya kichina ni original Samsung GT-C3222,tatizo langu ni kwamba inashindwa kuplay baadhi ya video ninazo download kutoka You8 tube na waptric lakini ni baadhi ya video...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna hili swala la vifurushi ambavyo vina dakika,SMS na mega bytes kutokana na ukweli kwamba sio wote ni watumiaji wa hizi SMS pamoja na MBs nadhani si vibaya waka classify upya hivi vifurushi...
0 Reactions
4 Replies
988 Views
WanaJF naombeni msaada wa kusett VPN kwa simu yangu hapo juu na jinsi kutumia Proxy. Natanguliza shukran Wakubwa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu kwa sasa natumia galaxy s2...sema ningetaka nibadilishane na jamaa yangu anipe iphone 4 ..sema cjawahi tumia iphone hapo awali. sababu ya kuitoa hii s2 ni charge na haiko stable na network...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Nimejaribu kutumia windows phone kuingia jf lakini napata matatizo lukuki. Kwanza nikitaka kureply keybord inatokea in a second inapotea. Siwezi kuandika. Na pia kwanini hakuna application ya jf...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wana-jf...ninatumia techno n3 (android 2.3.5),tatizo kubwa ni usumbufu katika kutuma message kuanzia trh 18 august kwa mtandao wa voda...kama kuna yeyote mwenye ujuzi wa kutatua hili...
0 Reactions
4 Replies
951 Views
naomben ushauri nataka ninunue techno d5 niuze nokia asha 305,je wana JF mnanishaurije apo?:help:
0 Reactions
3 Replies
1K Views
hapa pamekua hakuna kituo hata ki1 sasa, MSAADA hii lnb niiamishie wapi mrad ifanye kazi sio iote jua bure hapo juu
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Za weekend waheshimiwa. Kuna mtu ananisumbua sana kwa kunipigia simu mara kibao. Yaani anaweza nipigia hata mara 100 kwa siku. nmejaribu kumkataza lakini haelewi. Nilijaribu kuomba msaada kutoka...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
wana JF, Samahani naomba kuuliza eti kuna uwezekano wa kufunga AC system ambapo two indoors units zikashare one unit ya outdoor yaani labda moja unaifunga chumbani na nyingine sebuleni, au zote...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Habari wanajf! Naomba members mnisaidie jinsi ya kutoautisha wireless dongle na gprs dongle,na jinsi vinavyofanya kazi Natanguliza shukran za dhati
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba msaada wa kuroot huawei u8185 .
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji kununua pikipiki used ya 250cc, ikiwezekana iwe honda. Nipo serious.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dell hiyo hapo haitoi sauti hata kwenye head phone hamna kitu. Kama kuna mtu anajua tatizo lake anisaidie kuondoa kero hii. regards.
0 Reactions
4 Replies
989 Views
nimetumiwa hela kwa tgo Pesa siku ya tano hii hela iko pending. Pls tgo naombeni hela yangu,
0 Reactions
4 Replies
881 Views
Wakuu nisaidieni nimeinstall hii windows 8.1 preview na nimeiactivate online ila haitaki kuinstall program, nikitaka kuinstall inajaribu ila inaweza kutumia hata lisaa limoja ikiandika tu...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Back
Top Bottom