Wandugu,
wataalamu naomba kujuzwa, unapouziwa 512KbPS ya internet maana yake nini!?
Je hii ni spidi unayopaswa kuwa nayo kwa kila mashine uliyonayo kwenye say ofisi au spidi hii inagawanyika kwa...
Ndugu wa JF nina mashine yangu aina HP LASERJET PROFESSIONAL M1130 MFP SERIES ambayo ina print, scanning na copier. Mashine hii ni mpya na niliifanyia installation vizuri tu! Lakini ku print na...
kWA ANAYEJUA NAHITAJI MSAADA WA KUTOA HIKI KIRUSI(?) HUWA TANGAZO LINATOKEA MARA KWA MARA HADI KERO ,MAANDISHI HUSOMEKA ,INFECTION URI:MAL
PROCESS C/PROGRAMME FILES..FIREFOX.EXE
Virus kwa ufupi
Ni program kama program nyingine za komputa. Tunaposema program ya komputa
inamaanisha kwamba mtaalamu wa kuandika program ametumia ujuzi wake kuandika program
inayoweza...
Habari wakuu
nina nokia asha 303
kuna alama hapa juu karibu na bars za network haka kanabadilika mara "E" tatizo nikinunua kifurushi hakikai hata nisipo peruzi nakuta kimeisha kabla ya wakati...
hii ni device ambayo google wameizindua leo officially ambayo inafanya kazi ya kuplay contenet zako za kwenye laptop,tablet au simu unaziona direct kwenye t.v(flatscreen) yako kwa kupitia google...
Nilikuwa naactivete kwa kupress *21#0754125125# na kukancell ##002# lakin kwa sasa hafanyi kazi ilikuwa inanisaidia kujua nani anapiga pind nipo hewan bt kwa flight mode au nani alipiga pind sipo...
habarini wadau naomba msaada jinsi ya kurudisha sauti kwenye baadhi ya chaneli kwenye king'amuzi cha startimes kwa sababu kuna chaneli baaadhi kama itv eatv Muvi tv sisikiii sauti lakini chaneli...
hellow guys, is it possible to boot my computer directly from my external HDD, my laptops internal drive have collapsed and i have tried to boot all the window files from 8gb flash disk but it...
5 Reasons why choosing Hatua for the Cisco CCNA training
1. Quality Content
Hatua Technologies Limited is a Cisco Registered Partner, by being in partnership with Cisco Hatua abide to...
Government Procurement & Supplies Agency
Wametoa mikataba ya kufanya bisahara na serikali kwa makampuni Haya tu kwa mwaka wa fedha 2013/14
MFI
Despec
Ms microfast
Supplies Store Ltd (ya...
Hallo wataalamu wa jukwaa hili. Nawasalimu wote. Kwa kuwa njia ya usb ni nzuri sana kwa kuunganisha device nyingi kwenye kompyuta, nimenunua usb hub yenye port 4. Lakini ninapoiunganisha kwenye...
Hey Folks. Ever happen to you that your PC BIOS locked with an unknown password. One of my friend was suffered from this problem recently so I just thought to share it with all you guys too.
Its...
Wakuu naomba msaada wa kuwasha computer (desk top). Nikiwasha monitor inaandika kuwa "AUTO DETECT. IN POWER SAVE MODE. PRESS COMPUTER POWER BUTTON OR ANY KEY ON KEYBOARD OR MOVE MOUSE". Nimefata...
katika uzinduzi wa nexus mpya leo head wa android sundar pichai alitangaza kua playstore imefikisha application million 1 so list inakaa kama hv
1. android 1,000,000+
2. ios 900,000+
3. wp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.