Hii ni muhimu sana kuijua ndugu zangu, wengi tunatabia ya kukwangua vocha kuweka kwenye simu kisha kutupa ile karatasi... Basi wajanja (waharifu) wameanza kuzitumia na kuingiza watu kwenye...
NDUGU ZANGU KWA WALE TUNAOTUMIA E-MAIL ZA G MAIL TUJIHADHARI.. KUNA MATAPELI ......LEO NIMEKUTANA NA E-MAIL HII KATIKA G-MAIL YANGU..
Gmáil Téam <eseta@insightbb.com>
8:04 AM (13 hours...
wasalaam wakuu nina tablet yangu ya toshiba t100 imekatika waya fulani wa screen touch kwaiyo ina onesha tu ila huwezi fanya chochote kwasababu screen hai sence je ntapata fundi wapi mimi nipo...
Ni muda nimekaa nikiangalia namna watu kam Chief Mkwawa, The Young Master na wengineo wakiichambua Android OS na sasa naona it is time to give it a shot, mpango wangu ni kuwa na Samsung Galaxy...
Naomba msaada kwa yoyote anayejua kuconfigure office 2013 outlook... inagoma kwa utaratibu wa kawaida kama office za nyuma ingawa the rest of the application kama word, excel etc ziko poa!!! kama...
Kutokana na usumbufu wa bettry kuishiwa charge mara kwa mara kwa watumiaji wa sumsung galaxy. Naomba kufahamishwa namna ya kuzima enternet ili kunguza matumizi ya battry.
Jmn flash yangu aina ya twinMOS imeharbka baada ya kuiwekea partition kwa ku2mia software, sasa nkiweka kwenye computer naandkiwa new driver installed successful and read to use but nktaka kui2mia...
First I have to say that I Officially announce the suspending of Kasuku Media Player. Here are few reasons for a sad decision: Kasuku was made as project to help C++ developers to grow in coding...
Wadau mimi nim2miaji wa Nmb mobile kwamuda mrefu na nimekuwa nikihamisha pesa toka kwenye ac yangu kwenda kwnye m pesa. Jana nimehamisha pesa kwenda kwnye lineyangu(m pesa), chaajabu msg haijarudi...
Wadau wa jukwaa hili:Habari zenu?
Mimi ninaishi sehemu ambayo umeme unakatikakatika ovyo sana. Kila ukikatika unarudi baada ya dakika ishirini au nusu saa. Tatizo hili linanikera sana maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.