Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Leo nimeona niwaletee makala ya kubadili mafaili ya pdf kwenda word, au word kwenda pdf kwa urahisi. Pdf kwenda word wote tunajua faili likiwa kwenye pdf halieditiki, njia rahisi ni...
2 Reactions
5 Replies
4K Views
Wataalamu wangu naomba msaada, nitapataje au nitawezaje kuhack time watcher au hata kupata serial number zake? heshima mbele
0 Reactions
2 Replies
3K Views
kwa atakaye weza kunisaidia hapo ntampa Tshs.100,000. mwenye utaalamu ajitokeze nimpe kazi.
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Baadhi ya watu waliosoma Stanford na kampuni zilizozaliwa chuo hiko. Government: 3 current Supreme Court Justices (Chief Justice William Rehnquist along with Associate Justices Anthony Kennedy...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Wamejaribu mafundi kwa kubadili AVR Lakini wapi. Naomba msaada kama yawezekana kupata Circate mpya niendelee kupata Habari. Tafadhali nisaidieni
0 Reactions
0 Replies
703 Views
Nahitaji mfuniko wa cm aina ya htc nexus one
0 Reactions
1 Replies
886 Views
Almost new Nikon D3100 with digital SLR features for sale. Some of the features include: DX format, 14 megapixels, capable of video recording, 18-55mm lens, 3 inch LCD screen, built in flash...
0 Reactions
6 Replies
978 Views
naombeni msaada wa program nzuri, rahisi kutumia na ya haraka kwenye kudownload muvi
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuuu za asub. poleni na mishe mishe. Naomba kujuzwa nitajuaje kama simu ni original au fake? Nipeni maujuzi kabla sijaibiwa. Asanteni
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari wanajukwaa, Je kifurushi cha internet cha Airtel ambacho lilikua kinapatikana kwa kutuma keyword INTERNET kwenda 15444 ni kiasi gani kwa sasa? Mwanzoni ilikua 2500/= unapata 400MB kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hilo tatizo ni common sana kwa laptop nyingi,ila maranyingi huwa linanipa tabu kwenye kulitatua,naomba mnipe somo kidogo juu ya hili, kuna upande mmoja unakuta fan inawaka kidogo theninakata na...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Salamu wakuu! Nimenunua blackberry storm 9530 lakini nimekutana na changamoto zifuatazo: 1. Nikipiga *102# au kuingiza voucher *104*13682....# haiendi kwa njia ile ya kawaida unapo dial kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakuu wajuvi wa jamvi hili, salaam! Naomba msaada wa kitaalamu. Kuna PC yangu (Desktop) inanizingua sana.Tatizo lililopo ni kwamba, ninapoiwasha na ku-chomeka Modem, huwa ina-restart yenyewe...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani mwenye ramani anitafute mimi niko mwanza ya vyumba vitatu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
simu yangu tecno n3 haiplay video za yotube nisaidien please nifanye nin
0 Reactions
1 Replies
802 Views
Nna kimeo changu cha BBerry 9300 ambacho nakitumia mara kwa mara. Sasa tatizo last Monday niliupgrade system yake from version 5 to 6. Kila wakati inansumbua inasema memory ndogo nifute baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
483 Views
Polen na majukumu ndugu zangu pia nawatakia wikendi njema.Jaman. naomb kujua ni jinsi gani naweza Piga free call mana saizi wanakula sana hela wenye maujuzi tunaomba.nawasilisha hoja
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mwanye file la PDANET Full version, au mwenye linki ya kuaminika ya ku-dowload hiyo application full version, naomba anisaidie. Natumia PDANET kupata internet kwenye pc. Hii niliyonayo haifungui...
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Naombeni munijuze Jinsi ya kuactivate window 7
0 Reactions
2 Replies
866 Views
Back
Top Bottom