Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habari wadauz screen touch ya tablet yangu imegoma kufanya kazi kabisa, naomba kwa yeyote aliyewahi kupata problem hii anisaidie alitatua aje. aina ya tablet ni twinmos. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
887 Views
Nipo Dodoma, watu wanakiu sana na ving'amuzi vya digtek. Hawa jamaa wanakuja lini huku. MWENYE TAARIFA TAFADHALI.
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Ni Amplifire za kurushia picha kwenye cable. Nilishawahi andika hapa kuna baadhi wakanishauli nitumie faiba kuwaomba ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo faiba wakaingia mitini. Njia nnayoielewa vizuri ni...
0 Reactions
0 Replies
668 Views
hello wadau..screen touch ya tablet yangu imegoma kabisa kufanya kazi....naomba msaada kama kuna mtu amepata same problem aniambie alitatua aje. aina ya tablet ni TWINMOS. SHUKRANI.
0 Reactions
0 Replies
623 Views
huu mkongo wa taifa wa mawasiliano je umeanza kutumika? Kama ndio kuna tofauti gan na mwanzo kabla haujaanza kutumika! Wanaofaham watujuze!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari za kazi. Naomba mwenye maujuzi ya namna ya kununua internet bundles kwa kutumia Nexus 7 4 G katika mtandao was vodacom. Ikumbukwe kuwa nexus haina features za kupiga simu wala kutuma...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
...Lakini uzinduzi huo wa 4G uendane sambamba na usambazaji wa huduma ya 3G nchi nzima huku ikifuatiwa nyuma na hiyo mpya ya 4G maeneo mengi kadiri iwezekanavyo na siyo katika baadhi ya miji...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Jamaa wameshaiingilia Tueuse Cracker:~
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari zenu wanajf. Hv naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia maujanja jinsi ya kuirudisha laptop iliyoibiwa au hata kumtambua mwizi wangu.. unaweza hata kunipm au kuanika hapa jamvini.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hey people, jaribuni nanyinyi mimi nahisi nina usingizi nimeshindwa kuelewa kwanini inakua hivi. Step one: Open VLC media player Step two: press Ctrl N Step three: type screen::// Step four...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
hali zenu wanabodi. wakuu naomba kwa anayeweza kuniuzia adapter ambayo inaweza pokea input ya 110/240 v ac 50/60 na kutoa output ya 5Voltd dc na 0.5A naihitaji kwa haraka mno.inisaidie kwenye...
0 Reactions
1 Replies
809 Views
Jamani aliye na windows 8 iliyona full na key zake ani pm ili ninunue
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari Wadau Nilikuwa Naomba Mnielekeze Tofauti Kati ya tablet na I pad Na Bei Yake Hapo Kila Moja Hapa Tanzania Asanteni!!
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwa wale walioanza kutumia, channel zipi zinapatika
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii kitu wale wahanga kama mm wakupenda Metro UI kiko hewani so tukisikilizie Wale wa 32bit seeders wachache mno kiasii cha kuchukua masaa 5 kuwa cached kwenye zbigz Wakati wale wa 64 bit kitu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama mnavojua Tanzania ni nchi yenye vijana wengi wasio na ajira, vijana hawa walikuwa wamejipatia ajira kwa kutengeneza simu za mkononi tangu kuingia mwaka 1995 upande wa Analogia na mwaka 2000...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Mpo wanatekno?. Ebana kwa wale walioikimbia voda nakwenda airtell au wap kungne vile na kuweka zile moderm za voda kapuni. Chukua hii 10,000 unigeie iyo kitu. Njoo PM
0 Reactions
24 Replies
2K Views
naombeni msaada wakuu ku-unlock huawei ideos u8150 IMEI 355093044658371..... shukrani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
simu yangu ni nokia n8 shida yangu nikitaka kufungu file inaniambia home screen memory full close application and try again hata nikidownload program inakataa naomba msaada wadau
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Wadau nina hyo hela mwenye nayo mini laptop anitafute na aweke specification hapa nikikubali 2fanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom