Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
haijatumika sana. Tutaftane kama unahtaji.
0 Reactions
5 Replies
900 Views
Waungwana Habari za Jumapili... Samahani nilikuwa naomba kuuliza inawezekana kutumia zile servise unazolipia za Intarnet kwenye BB ukatumia kwenye PC Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
826 Views
1.ntawezaje kuwa na apple ID bila credit card! 2.najaribu kutumia bluetooth inakataa,y NB:iphone yangu ni original
0 Reactions
1 Replies
768 Views
Wanatekno kwema jamani?, Haya sasa, samahani lakini naitaji tu kupata picha ya kimawazo na elimu toka kwako juu ya aina hizi mbili za kompyuta za mezani. Hapa nazungumzia kompyuta wima (tower...
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Habari wakuu, Nina simu ya Iphone. Model No : A1241 FCC ID : BCGA 1241 IC ID : 579C-A1241. Ni nyeupe, nyuma imeandikwa DESIGNED BY APPLE IN CALFONIA , ASSEMBLIED IN U.S.A Jamani hii...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
kwa wanaohitaji kutengenezwa website,blogs,vipeperushi,na other stationary stuff contact us maria@dwt.co.tz au 0715878575.kazi ambazo tumewahi kufanya na ziko hewani ni kama ifuatavyo...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
Msaada jamani iphone imeroga inatoa sound tu! Haisogei mbele wala nyuma ku crick ni double one click,, Program zilizipo chini hazipandi juu wala haziende left or right,,, plz msaada jamani.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Wakuu wazoefu wa maswala ya simu naombeni msaada wenu nikikuwa nainstall proglam moja kwenye simu yangu ya samsung gallaxy ace 5830i ila nilipokwenda kuifungua ikaniambia your phone not rooted...
0 Reactions
23 Replies
9K Views
katika pita pita yang kweny simu yangu nimekuwa nikuta h kitu bt nashindwa namna ya kufanya hyo onlneupgrade. Nikichagua kweny hyo online upg, nakutana na vfuata -firmwire upgrde -system...
0 Reactions
5 Replies
944 Views
Wakuu heshima zenu ninataka kuunganisha account zangu za yahoo na gmail ili niwe napokea mails zote kupitia Microsoft outlook kama inavyoonesha hapo kwenye picha nimeshindwa cha kujaza kwenye...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nifanye nini ili niweze kudownload picha kutoka kwenye mitandao ya kijamii kama facebook,twetter na instagram kwa yeyote mwenye kujua anipe maujuzi
0 Reactions
0 Replies
529 Views
habarini ndugu. Je kuna mtu anafahamu naweza kupata wapi GPS map ya Tanzania. nina gari ya Toyota imekuja na CD ya Ramani ya Japan nataka nipate ya Tanzania. hata kama iko kwenye website ya...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
kwa mnao ielewa DOS/command prompt mwaweza kuchat sasa 1) All you need is your friend's IP Address and your Command Prompt. 2) Open Notepad and write this code as it is.....! echo off :A...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau wote! Dealer wa simu za "sony erikson" original, hapa jijini dsm anapatikana wapi? plz help!
0 Reactions
6 Replies
2K Views
msaada wenu please...ikiwezekana na kupata range ya bei yake... Shukrani...
0 Reactions
4 Replies
910 Views
wakuu poleni na majukumu! kwa wale wote waliojiunga na satelite dish aina ya ZUKU nawakumbusha kubadiliisha uelekeo kabla ya tarehe 28may2013 kwa kuwa kwa kipindi hiki kilichobaki utaratibu wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu salama!shemeji yenu amesema mwisho wa mwezi kama sitamnunulia NOKIA ASHA 311 SMARTPHONE patachimbika!imebidi nianze kujikusanya,je simu hizo zinauzwa shilingi ngapi?wapi?
0 Reactions
10 Replies
905 Views
Msaada.. Natumia blackberry 9780 kama modem kwenye laptop ila inakua inatumia bundle za kawaida au kukata ela iliyopo kwenye simu.. Sasa naomba msaada ntawezaje kuwa natumia internet kwa bundle za...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naombeni msaada wa app itakayo niwezesha kusikiliza redio mbalimbali, awali nilikuwa na internet radio, nikiitafuta nokia store siioni tena wakuu, msaada wenu pls!
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji kuondoa version iliyopita na kuweka ya 2013. sasa katika control panel hata siioni icon yake. Nisaidieni jinsi ya kuitoa maana imeshaisha muda wake.
0 Reactions
2 Replies
935 Views
Back
Top Bottom