Kwa wana JF wapya, kuna kipindi Invisible aliweka link ya vitabu vya ICT ambavyo viko katika FPT server, ambavyo unaweza ku-download kwa kadri unavyotaka kwa kujiendeleza katika masuala ya ICT...
niuninstall theme ya waterfall kwenye komputer yangu ya dell inayotumia window xp royale s3 baada ya ku uninstall display ikawa whitish in color na mpaka sasa nikiiwasha tu inakuwa hivyo hivyo...
Binafsi kwa sasa nipo maeneo ya nje kidogo ya mji wa moro mjini kama km 65 hivi.Huku mtandao unaojitahidi katika internet ni voda.Nilikuwa najaribu ku download movies kwa kutumia Utorrent,movie ya...
Nahitaji gamepad kwa ajili kucheza Fifa 13 kwenye PC kwa yeyote anayejua Pad nzuri naomba anishauri ni ipi, nikipata gharama na mahali pa kuipata itakuwa vizuri..
wadau naomba msaada wenu nimeenda kwenye interview moja nikakutana na swalilikisema ni aina ipi ya virus kwenye compoter aliyesumbua mwaka 2001 lilikuwa multiple choicw question kati option...
kweli wale wote ambao ni ma-it pongezi kwenu, your job is great!!! Nashukuru sana sana, japo sija unlock my phone, ila natanguliza shukurani za ukweli, from my heart. i am going to unlock it...
Naomba msaada wa jinsi ya ku un-lock printer hiyo (EPSON STYLUS 1410) inapojifunga (lock) maana hizi printer huwa zinajifunga baada ya kutoa copy kiasi fulani cha karatasi (printing) na kila moja...
habari wakuu,
Msaada kwenye laptop yangu, nikiconect na internet inaconnect na videos ambazo zpo kwenye torrent zinaendelea kudownload
Lakini nikifungua browser yoyote(maxthon, chrome, internet...
General
2G Network
GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network
HSDPA 900 / 2100
SIM
Mini-SIM
Announced
2011, February
Status
Available. Released 2011, March
Body...
TAFADHALI INGIA KWENYE WIZARA YA MIFUGO Ministry of Livestock and Fisheries Development - Home - HALAFU ANGALIA UPANDE WA KULIA KWA CHINI KWENYE KICHWA CHA IMPORTANT LINK UTAJIONEA MWENYEWE LINK...
Masada wakubwa kuna pc imesahaulika password zake za kwnda kwenye setup kama kuna yeyote anaejua jinsi ya kuchakachua au kuziondoa naomba msaada wake na naomba kujua cmos better inatunza password...
Hivi who is the CIO wa nchi anayemshauri Presedent wetu kwenye masuala ya Technologia ya Habari na Mawasiliano kama hamna naomba Ikulu watangaze nafasi hii muhimu sana kwa maendeleo ya nchi
Kama jibu lako ni Hapana ishia hapaaa...................
Kama jibu lako ni Ndio........
Kwamba unataka uwezo wa kufuta ma application yakijinga yanojaza memory ya simu lakini...
Meneja Usalama wa Mawasiliano wa Kampuni ya PricewaterhouseCoopers Tanzania (PwC) Kanda ya Afrika, Edwin Moindi, akizungumzia namna ya kudhibiti uhalifu kwa njia ya mtandao, wakati wa semina...
naombeni mnisaidie iyo kitu kwani nmejaribu kugoogle ila option nazoletewa nashindwa elewa vizuri kwani nyengine sutup zao n kubwa mno mfano 1GB n.k naomba yenyewe isizidi 250...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.