Wadau natumia kasymbian 40 nokia c 3-00 ila nataka kuifanyia restoration bt nmesahau password msaada plz kama naweza kuiweka sawa maana settng zimekaa ovyo sana natanguliza shukran
Jamani nimeshindwa kutoa I kwenye Tv ili iwe Bg au Dk kwa maana inapiga kelele sana ila picha iko fresh. Tv ni aina ya maxwell.
MENU
SOUND
PICTURE
FEATURE
INTALLATION
PROGRAMME
SOUND...
Habari za mihangaiko wakuu, ninaomba msaada wenu juu ya hii technologia , unajua ni vizuri kujifunza mambo mbali mbali , kuna kaz nimeapply na wamenambia lazma ni jue joomla, sasa naomba japo...
Jamani najua kuuliza ni ujinga ndio maana nahitaji kueleweshwa ili niondokane na ujinga! Mimi ni mpenzi sana wa google map,ila kuna kitu kinanichanganya sana.Kwamba je,ni nani anawapa hawa jamaa...
Naomba msaada jinsi ya kutoa "This copy of window is not geniune",manualy bila kutumia software . Kwa sorfware najua ,nataka kuongeza ujuzi.
Natumia win 7.
Natanguliza shukrani
Habari waungwana!
Naomba kufahamu kama kuna software yoyote ninaweza kuinstall kwa Laptop yangu ambayo inaweza kuaccess 3G kwa huku kijijini ambako huduma za 3G hakuna.
AU
Kama kuna Apps zozote...
Salaam wakuu...Mwenye link ambayo ni rahisi kudownload hii software naomba anisaidie. Maana nimehangaika kutwa nzima nadownload vitu vya ajabu...! Natanguliza shukrani.
Wakuu nmenunua kablack berry curve kwa jamaa hapa ila jinsi ya kuunga net ndo inantoa kijasho maana jamaa alifunga service zote km vle watsapp n.k nimeweka kifurush cha bb intrnt ila bado haitaki...
wadau wenzangu nilikuwa nauliza kama kuna mtu ambaye anajua kutengeneza vitu vya 3d kama magari au chumba anisaidie kuniambia program ambayo anatumiaga nina project kubwa n nimekwama kwenye hilo...
Natumia simu ya Blackberry kwenye maswala ya internet, Huduma za Blackberry internet zipo juu sana ukilinganisha na huduma za kawaida za simu nyingine. Naomba msaada wenu kama kuna namna ya...
HACKERS WAIBOMOA WEBSITE YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM -( UDSM ) NA KUUJAZA MATANGAZO YA NGONO
Leo mchana, mtandao wa chuo kikuu cha Dar es salaam uliingiliwa na mahackers na...
Habarini wakuu! ebana mimi nawaombeni mnisaidie prog ya adobe photoshop 7 au related adobe photoshop, au link itakayoniwezesha kuipata full na sio trial! natanguliza shukrani wadau! :yo:
Itakuwa na uwezo wa kucapture picha kwA quality ya 5 mega pixel,kwa uapnde wa video itakuwa ina video resolution ya 720p,itakuwa na storage capacity ya 12 GB of usable memory, synced with Google...
Nime install windows 8 kwenye hp laptop imekubali ila nilipo restart laptop ina load mpaka kwenye sehemu ya kuleta kiji mshale cha startup haiji yani nasubiri mpka basi nisaidieni wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.