Samsung Engineering Academy
Aimed at addressing the critical technical and engineering skills shortage in Africa, in 2011, Samsung launched its Samsung Electronics...
Kwa mfano ukinunua voda ya unlimited siku 7 (10,000/=) spidi inashushwa baada ya kukamua 2GB, sasa nahitaji kujua ya siku 30(30,000/=) inashushwa baada ya kiasi gani?
Ahsante
26/03/2013
"Una wazo la kiteknolojia? Unataka kutengeza utajiri ukiwa ungali mdogo? We fanya tu" hayo ni maneno ya bwana mdogo Nick D'Aloisio mwenye umri wa miaka 17 ambayo aliyoyasema katika...
Wakuu pc angu imekata sound ilihali settings zote za sound/volume ziko sawa, naomba msaada au ndo ishakuwa "sekerepa?"
Ni dell latitude D620.
Natanguliza shukrani za dhati.
Mitihani ya 640-822 ICND1, 640-816 ICND2 na 640-802 CCNA mwisho kuifanya September 30 baada ya hapo yote inabadilishwa na syllabus mpya.
Pia kwanzia sasa hakuna haja ya kupata CCNA kabla ya...
Perhaps you are afraid of any mail that you don't understand and perhaps you applied for scholar or you wonder if God have done a miracle for you to be rich. Spams and Scams are becoming a new...
Nasikitika sana kuona wanajenga vituo, vingi magomeni mapipa
hadi ubungo, si chini ya vituo 8 ama 9...hivi huu uharibifu ni kujenga kweli?
naomba mawazo, labdasijui kitu
Have you deleted your important files permanently from your computer?
Here I'll give you a powerful data recovery software . It's fully free !!
bofya hapa
Wakuu nilikuwa nimejiunga na BBM kupitia mtandao wa Tgo,nikapata dharura ya kama wiki 3 sikuwa natumia hii huduma,Sasa tokea jana usiku najiunga tena inanipatia hii msg"Ndugu mteja wa Tgo...
ndugu wanajmvi wenzanguu naombeni msaada nina ipod 80gb yani nilichomeka kwenye laptop kuweka video ikaconect kwa muda mfupi halafu ikakata sasa nikiiwasha inablink tu mpaka chaji inaisha haiwaki...
Habari wakuu,
Me nna swali hapa. Samsung wanatabia ya kutoa smartphone then later wana release product kama ile ile but wanaweka ubini wa "mini".
Mfano hizi nilizosoma gsmarena dot com kua S-IV...
Naomba unitupie hapa au kwa PM (vyovyote iwezekanavyo) unlock code ya modem ya airtel- ZTE MF 190, IMEI yake ni: 86570018993243.
Natanguliza shukrani,
A Father.
Nokia research centre ya cambridge uingereza wametangaza kua wamegundua njia ya kuifanya simu ikae standby milele na milele. Na hii inatokana na kutumia energy inayozunguka minara ya simu, redio...
Blogu hii iko wazi kwa wasomaji walioalikwa pekee
Huwa naingia mara kwa mara katika .blogspot bila tatizo lakini wakati mwingine unakuta huwezi kuingia na unakutana na meseji hiyo hapo juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.