jaman habari zenu wanajamvii
mie natatizo hapa, nimenunua blackberry storm verzon, kila kitu inafanya kazi vizuri kasoro internet.....nikitaka kuingia kwenye internet inaleta message inase
" your...
wakuu kuna ki2 strange kinafanya nihic laptop ipo hacked mana kila nikikonect modem nackia milio ya clicks kwenye maefail afu ndo upload speed inakua kubwa sana hata ncpofanya network activity...
Wadau nina tatizo na Laptop yangu ina zingua sana inakuwa inazima na kujiwasha na kisha inaleta blue screen na maandishi mengi sna kisha ikitulia inafanya kazi wakat mwingine inaleta mistari...
Habari wanaJF,
Naomba mnisaidia na kunielimisha ni jinsi gani naweza kucreate webpage itakayomruhusu mtumiaji aweze kuangalia video online pamoja na kudownload hizo video na baadhi ya files...
Natumia Nokia X2-01 nikitaka kudownload appliations kwenye simu inaload halafu inaniambia NO SERVICE ila nikitumia Operamin naweza kudownload music na picha bila matatizo.Inakuaje hapa?
Aje wakuu, i think am unbeatable kwa fifa 13 wakuu. nimefunga watu 20 with a record of no losing or draw,20 in a row. so kama kuna mkuu anataka kujaribu mpambano ruksa, then kwa wanaohitaji pc...
Habari, naombeni mnisaidie .. Kitu cha youtube downloader kinazengua kudownload katika kimeo changu(specifically N97 mini) na haijawh kubali tokea nianze kujaribu kuitumia.. Ni ile ya picobrothers
wakuu hiv hiz symbian 5230 hazina app. ya kuunzip app. ambazo zipo zipped maana kwa symbian kama E65, E71, & E75 naona zina hii app. Maana smtimes nkidownload app. kwa kutumia Operamini naikuta...
Nina sim card ya Voda, hapo mwanzo ilikua haikubali ninapo jaribu ku connect kwenye Internet, baada ya mwaka kupita imekubali ku connect na haili bundle wala pesa ninapo Browse website au ku...
DELL STREAK 7 wifi+4G (16GB internal memory) 7.9 inches screen ni mpya imefunguliwa box kwa kuupgrade os to android 3.2 na kui root ili uweze kuinstall kitu chochote kile na kuweza kutumia skype...
Habari zenu wakuu. Ninaomba msaada wa namna ya kuinstall WhatsApp kwenye Sony Ericsson WT13i maana nimeshindwa kuelewa kama ni Android, window, ipad, iphone n.k. Nimejaribu options zote lakini...
sio siri wana2nyanyasa ki2 kidogo 2 bei juu tena ukija kuchukua top yako vifaa wanakubadilishia kama hawana akili nzuri una 4gb ram unakuta 512 mb kama mshamba ndo utaamin wanakwambia eti virus...
Ni takribani siku nne sasa mtandao wa vodacom imekua ni kero kubwa sana Kigoma mjini. Simu hazitoki kabsa jamani na watu wanalalamika sana. Mimi nataka kujua kwa wahusika tatizo ni nini? Kama...
Jaman laptop yangu ina matatizo ya window,sasa najarib kuboost kwa kuweka CD mbalimbali za windows huwa haikubali na nikajaribu kureboost kwa window ileile ya zaman ikakubal sema haikumaliza kwan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.