hi wana jf
Nimekuwa nikisoma topic za jf, Ama kweli jf ni website ya watu na heshima zao, ila mm nimekuja na wazo langu, mm ni graduate bed computer science niko kilimanjaro nimeajiriwa na...
New links for BBM7 - http://byobb.in/2012/12/blackberry-messenger-7-download-now-ota-links/
Download before this gets down :)
If link opens as text, Clear browser cache and retry
Eti ni kweli kuwa dunia itafika mwisho wake kwa kupondwa pondwa na jiwe kubwa ambalo lipo huko angani.Na wanasayansi wanafanya juhudi kulizuia??? Kama kuna watu wanajua juu ya hlo atujuze...
Naomba wana JF mnisaidie katika hili kwani sielewi baada ya kupigiwa simu na jamaa yangu akiniambiwa kuwa ametumiwa ujumbe kupitia yahoo, akiambiwa kuwa nimeibiwa mali zangu wakati nikitoka safari...
Kabla iphone 5 haijaisha ladha tayari kumeshaanza rumours nyengine za iphone 5s je kunani apple?
Leo asubuhi nilikua napitia habari fulani theverge walikua wameandika kua polisi nchini...
Wakuu, computer yangu imeanguka chini,na kupata nyufa kadhaa.Nilipoiwasha nimekuta kuna michirizi ya rangi imefunika karibu robo tatu ya screen na mistari mingine (horizontal).Naomba kujua...
MBR Regenerator 4.5
The Professional Activation Fix Tool
MBR Regenerator will offer users the possibility to easily and quickly recover their activation system.
Multiple loaders, and patches...
Ni samsung gt-s6102
Kwa sifa zinazokuja na simu search jina la simu na neno "specifications" kwenye google;
Nilizoongeza ni...
Tayari nime root, install busybox na CWM
Ipo kwenye hali nzuri...
Analysis: False. NASA has predicted no such thing. There will be no three-day blackout in December 2012. Indeed, the phrases used above - "total blackout of planet," "alignment of the universe,"...
baada ya kuomba ushauri kama ubuntu na window 7 ni ipi bora na watu wengi kunishauri kuwa ubuntu ni bora zaidi!leo nimeweka ubuntu kwa msaada wa mtaalam lakini tatizo ni kuwa documents zangu zote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.