Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ndugu wa jf, naomba msaada wenu, device inayotumia 4G + Cellular internet, inaweza kupata internet ya 3G? Nauliza hivi kwa sababu nataka kununua IPAD 4 yenye uwezo wa 4G + Cellular internet hivyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wadau wakati tukifanya shughuli ka wimbo ka kututia moyo hako jamani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta dell 630 ...iwe kwenye hali nzuri pia anayeuza atoe na specifications zake .awe anaishi DAR
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Duplicate Cleaner ni program nzuri ya kusafisha mafile ambayo yamejirudia rudia na kujaza HDD yako huwezi amini HDD yangu ilikaribia kujaa nikasema ngoja nijaribu...heee kumbe ma movie music na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu laptop yangu inamatatizo ya kufungua you tube nilikua naomba mwenye ujuzi wa kutatua hilo tatizo
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa wale wanaotaka kuwa na Screensaver ya Bendera yetu ya Taifa, tafadhali tembelea link ifuatayo RapidShare ? Secure Data Logistics ili kuweza kudownload hiyo Screensaver na kuinstall kwenye...
0 Reactions
0 Replies
10K Views
habari,nimekuwa nikiambiwa kua kuna sehemu dar yenye mafundi simu WATAALAM,wanaojiita sapna.sasa nina ipod touch 4G imepasuka screen ila inafanya kazi kama awali,ninahitaji kurepair hivyo mwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenyu Wakuu? wazima? mimi nipo poooouwa. Kuna picha moja hapa nahitaji kuzitoa pembe zake zote za pembeni yaani ibaki bilauri/glasi (ninamatatizo ya r na l) kama glasi tu, naweza tumia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Outlook can’t send mail – Some Problems and Solutions Sometimes after configuring your Gmail account with Outlook, you’ll not be able to send mail. If you follow the exact guidelines provided by...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kuna mdau yeyote anayejua any software ya kuhack au namna ya ku-access PC or phone using bluetooth from another PC or phone withought authorization from the owner, anisaidie plz!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
habari, Kuna mtu ambae anaweza kunifahamisha jinsi ya kupata vitabu online kwa kutumia hii application (zotero)?? Au kama naweza kupata websites ambazo naweza kudownload free books Msaada tafadhali
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanajamvi, Ninatafuta zile DSTV decoders zenye kuwezesha kuona picha mbili tofauti kwa wakati mmoja. Niliwahi kuuliza DSTV wakaniambia hawatengenezi tena zile decoder. Kwa anayefahamu wapi naweza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani naomben mnisaidie software ya ku-unlock modem ya zte e 1588 au procedure za ku-unlock hyo modem hapo ya airtell zte e 1588
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jaman naombeni mnisaidie software ya kua-unlock modem ya zte e 1588 ya airtel
0 Reactions
0 Replies
5K Views
wadau kama mumechunguza sio kila mara kustream videos in a kuwa ni smooth process. hata kama internet connections yako ni ya high speed, uta experience glitch glitch au kukwama kwama huku ikileta...
0 Reactions
1 Replies
868 Views
Wakuu nawaombeni mwenye proxy nzuri anisaidie plz. WENGI MTANIDHANI NI SPY LAKINI MIMI SIO SPY NI MWENZENU HUMU NDANI.
0 Reactions
3 Replies
977 Views
Jamani nahitaji msaada wenu,, Kila nkiweka docs kwenye flash drive zangu zinabadirika format kutoka doc format- exe format Na hazifunguki tena Kwa Microsoft word alaf document nyingine ckua Na...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jee unajua kuwa ukikua pua yako na masikio yako pia yanazidi kukua , kurefuka na kupanuka? Hebu angalia wazee walio karibu na wewe utaona kuwa pua zao ni ndefu au zimepanuka. Masikio yao pia ni...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
wakuu mwenye kujua how to get free domain,nisaidieni..plz
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom