Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Shalom! Nilikuwa nikii-install VLC Media Player kwa bahati mbaya katika kuhangaika na kuminya minya bila shaka niliminya kisichopaswa kuminywa na matokeo yake sauti kwenye Laptop yangu ikapotea...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
wapendwa simu yangu ni Nokia E71 lakini nina week sasa kila nikituma msg inanimbia unable to send message .. msaada tafadhari nifanyeje?
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nahitaji sana hiyo smartphone ya LG optimus 3D. Bajeti yangu ni Tsh 300,000.
0 Reactions
0 Replies
808 Views
si ajabu kuwa wengi hili linawaudhi ila hawana jinsi ya kuepukana na nalo. Na kama una simu ya laini mbili ni adhabu tosha.Matangazo ya promotion kila dakika hadi simu inajaa na unashindwa kupata...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Heshima yenu wataalamu. Naomba mnifahamaishe kama kuna namna yoyote ya kuweza kubadili picha ya video iliyo katika mfumo wa VHS kwenda katika VCD au DVD. Kama kuna mashine za kufanya kazi hiyo na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
+120249234...? naomben msaada wenu kuna mtu kanpigia na no hii nataka kujua kama ni ya nnje au vp?
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wakuu nimekuja Dar kwa muda mfupi, naomba kama kuna mtu ana Pc games anazoweza kutoa kwa bure anisaidie, games like FIFA 2012, Call of Duty(any), n.k
0 Reactions
0 Replies
950 Views
Jamani hv kuna any local channel hapa bongo itakayoonyesha michezo ya olympics 2012
0 Reactions
0 Replies
774 Views
Wakuu salamu, napenda mwenye kujua simu tajwa hapo ina vitu gani vizuri kama Android au OS. Pia kama ni dual sim card,ubora ikiwezakana na gharama ya kuinunua dukani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nimelipa huduma ya internet ya Blackberry kwa muda wa miezi 6(natumia tigo), Sasa hivi nataka kuuza simu ya Blackberry, ninunue nyingine ya Blackberry, vipi kuhusu huduma niliyolipia kama...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Msaada jamani blackberry yangu imezima gafla wakati nachati kwenye net ila nikiwasha ina load haimalizi kabisa.Nimejaribu kudownload firmware ya blakberry ila sim nikiunga na usb haisomi kwenye...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Pamoja sana wakuu, antivirus yangu ni kaspersky 2012, nataka kui-update lakin kwenye zile application zote zimetikiwa, isipokuwa database and application imepigwa "x" nikiupdate inafikia 16%...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
nilikua natumia modem inayochukua line zote nikiwa Dodoma mjini, ila nimekuja Kondoa kikazi lakini internate ya airtel imenigomea kwani modem inaonyesha taa nyekundu, nilipobadili na kuweka line...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natumia Plesk Control Panel & Filezilla FTP client. Naomba mnielekeze jinsi ya ku upload web contents.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau toka asubuhi mpaka mchana kuna tatizo katika mtandao nikitaka kuingia Email inasefel.Kama isemavyo hapa chini. This Connection is Untrusted...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ni notebook, nilibadili window juzi na kuweka ultimate, nimeitumia bila tatizo kwa siku 2. sasa tangu asubuhi nikiiwasha unakuja ujumbe usemao bootmgr is compressed press ctrl+alt+del to restart...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
jamani naomba msaada wa kufuta picha ya facebook profile au account nimekosea nimeapload picha isiyo yenyewe nifanyeje?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
...Wadau naomba msaada wenu. Kuna wakati nilikuwa nikitumia Modem ya Voda ambayo nilikuwa nawea kununua Bundle ya internet kupitia kwenye interface yake. Niliaacha kidogo kutokana na eneo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau kuna doc nime edit kwa kutumia word 2007, wakati wa ku save inanijibu The save failed due to out of memory or disk space Msaada wenu wana Jf
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Follow this link: Satellite captures stunning images of Earth | Photo Gallery - Yahoo! News
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Back
Top Bottom