Naombeni msaada manake IDM katika computer yangu imekataa kata kata kufanya kazi baada ya kuwa ime-expire baada ya siku 30 za majaribio. Nimejaribu kufuata taratibu za kucrak lakini hakuna kitu...
NOKIA
SL3 UNLOCK LAUNCHED AT 25$. >4 WORKING HRS,REQUIRED SL3 LOGS+IMEI+MPESA @CRDB DAY EXCHANGE RATE.
CONDITION:-REMOTELY CASH FIRST
-PHONE ON HAND 6 WORKING HRS MUST BE TAKEN!
Exchange Rates...
Recently nimegundua nashindwa kufungua jamiiforums.com kwenye ip adress kadhaa, i was wondering kama kuna mirror site ya jamiiforums au kuna njia mbadala ya ku access jamii forums?
jamani wadau wa jf naomba mnitoe ushamba cku hizi nackia kuna aina nyingi za cm zikiwemo symbian,iphone,ipad na nyingine nyingi ambazo nimekuwa nikikutana na maelezo yake humu jamvini sasa shida...
Jaman naomben msaada cm yangu haiwezi kudownload baadhi ya application nikidownload inaniandikia No valid certificate nifanyeje msaada plz nina iman tatzo langu litakwisha coz hapa kuna GREAT...
Here is a free Newsletter for if you have an Androide Phone or Tablets: Find Past Issues of IT-Depot Android News here
January issue has just been released.
Nachofahamu mimi Airtel huwa inakata ku-connect ikiwa na 0.00.
-Nimedownload PD-PROXY new version
-Nikaifanyia setting zifuatazo
(a)Katika option ya server nimeset DEMO SEVER (US)...
wakuu, natumia Nokia C 3 nilikuwa nahitaji kufanya restore factory setting ili setting zianze upya sasa tatizo inaniomba SECURITY CODE msaada security code ya NOKiA huwa ni zipi coz sijawahi tumia...
Wakuu kuuliza si ujinga ? Nakubali kuonekana mjinga na mshamba kwa mda mfupi.
Swali langu ni kwamba nitaitambuaje kuwa hii ni memory card na flash original??
Nilisha wahi nunua flash na...
Salamu kwenu wakuu..naomba msaada hapa kidogo wa mawazo maana mimi nina modem ya safaricom Huawei E220 na inashida ya device kujidisconnect pale tu ninapo open browser inaniambia the device is...
Wakubwa,
Leo nimeanza safari ya miaka 2 ya kusoma Diploma ya ICT katika chuo fulani nchini Tanzania.
Kwa kuwa hii fani ni pana,ningeomba wajuzi wa hii kitu wanijuze ni mambo yapi natakiwa Niyajue...
Workflow Robot ERP ni mfumo wa komputa unaotumika kusimamia na kuratibu mauzo, mapato, matumizi na stoku. Hutumika kwa mpangilio uliowazi na kudhibiti kila sehemu ya biashara hasa pale...
Hali zenu wandugu. Mimi nina tatizo. Tatizo langu ni kuhusu airtel internet kila nijaribu kuunganisha bundle 400b wakati nikitumia kwenye pc speed inakuwa ndogo sana hata kama ikiwa kwenye wcdma...
Natumia simu ya 5130(Xpress Music)kama Modem katika Laptop,juzi ilikubali ila leo na jana imegoma kabisa na Settings zote zipo sawa. Nikhfungua Google Chrome inasema "THIS WEBPAGE IS NOT...
Naomba msaada ndugu zangu. Music Player ya simu yangu (Nokia E61i) inaogeza sauti mpaka mwisho bila ridhaa yangu, na haipunguzi. Je nifanyeje ili kuweka sauti kadiri nitakavyo? Naomba kuwakilisha
Jamani, nina usb flash sandisk 8gb. Nilinunua muda si mrefu. Tatizo lake kila nikiingiza kwenye laptop wakati inafunguka inachukua muda, panatokea green colour kwenye bar from left to right. Mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.