Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naombeni msaada manake IDM katika computer yangu imekataa kata kata kufanya kazi baada ya kuwa ime-expire baada ya siku 30 za majaribio. Nimejaribu kufuata taratibu za kucrak lakini hakuna kitu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu naombeni msaada site ya uhakika wa kudownload psp games mana nimejaribu kwa utaalamu wangu mdogo sijafanikiwa !!! Thanks
0 Reactions
4 Replies
308 Views
Naombeni msaada wa proxy zinazofaa kutumika kwenye IDM NA TORRENT.AU ZINAZOWEZA KUDOWNLOAD MOVIES. naombeni msaada msaada wa proxy
0 Reactions
1 Replies
2K Views
NOKIA SL3 UNLOCK LAUNCHED AT 25$. >4 WORKING HRS,REQUIRED SL3 LOGS+IMEI+MPESA @CRDB DAY EXCHANGE RATE. CONDITION:-REMOTELY CASH FIRST -PHONE ON HAND 6 WORKING HRS MUST BE TAKEN! Exchange Rates...
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Recently nimegundua nashindwa kufungua jamiiforums.com kwenye ip adress kadhaa, i was wondering kama kuna mirror site ya jamiiforums au kuna njia mbadala ya ku access jamii forums?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani wadau wa jf naomba mnitoe ushamba cku hizi nackia kuna aina nyingi za cm zikiwemo symbian,iphone,ipad na nyingine nyingi ambazo nimekuwa nikikutana na maelezo yake humu jamvini sasa shida...
0 Reactions
2 Replies
953 Views
Jaman naomben msaada cm yangu haiwezi kudownload baadhi ya application nikidownload inaniandikia No valid certificate nifanyeje msaada plz nina iman tatzo langu litakwisha coz hapa kuna GREAT...
0 Reactions
4 Replies
614 Views
Here is a free Newsletter for if you have an Androide Phone or Tablets: Find Past Issues of IT-Depot Android News here January issue has just been released.
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Nachofahamu mimi Airtel huwa inakata ku-connect ikiwa na 0.00. -Nimedownload PD-PROXY new version -Nikaifanyia setting zifuatazo (a)Katika option ya server nimeset DEMO SEVER (US)...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
jaman kuna hiz apps napenda mzitafute..GRAVITY na SOCIALLY ni bonge za apps kwa socialy network..yaan kali kam computer
0 Reactions
15 Replies
1K Views
wakuu, natumia Nokia C 3 nilikuwa nahitaji kufanya restore factory setting ili setting zianze upya sasa tatizo inaniomba SECURITY CODE msaada security code ya NOKiA huwa ni zipi coz sijawahi tumia...
0 Reactions
1 Replies
807 Views
Wakuu kuuliza si ujinga ? Nakubali kuonekana mjinga na mshamba kwa mda mfupi. Swali langu ni kwamba nitaitambuaje kuwa hii ni memory card na flash original?? Nilisha wahi nunua flash na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Salamu kwenu wakuu..naomba msaada hapa kidogo wa mawazo maana mimi nina modem ya safaricom Huawei E220 na inashida ya device kujidisconnect pale tu ninapo open browser inaniambia the device is...
0 Reactions
0 Replies
560 Views
Wakubwa, Leo nimeanza safari ya miaka 2 ya kusoma Diploma ya ICT katika chuo fulani nchini Tanzania. Kwa kuwa hii fani ni pana,ningeomba wajuzi wa hii kitu wanijuze ni mambo yapi natakiwa Niyajue...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Workflow Robot ERP ni mfumo wa komputa unaotumika kusimamia na kuratibu mauzo, mapato, matumizi na stoku. Hutumika kwa mpangilio uliowazi na kudhibiti kila sehemu ya biashara hasa pale...
0 Reactions
4 Replies
802 Views
Hali zenu wandugu. Mimi nina tatizo. Tatizo langu ni kuhusu airtel internet kila nijaribu kuunganisha bundle 400b wakati nikitumia kwenye pc speed inakuwa ndogo sana hata kama ikiwa kwenye wcdma...
0 Reactions
2 Replies
828 Views
Natumia simu ya 5130(Xpress Music)kama Modem katika Laptop,juzi ilikubali ila leo na jana imegoma kabisa na Settings zote zipo sawa. Nikhfungua Google Chrome inasema "THIS WEBPAGE IS NOT...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada ndugu zangu. Music Player ya simu yangu (Nokia E61i) inaogeza sauti mpaka mwisho bila ridhaa yangu, na haipunguzi. Je nifanyeje ili kuweka sauti kadiri nitakavyo? Naomba kuwakilisha
0 Reactions
0 Replies
733 Views
Msaada wana jamii nina document ya excel imecorrup nikijaribu kulicover kwa software inaonekana lakini kusave ina goma msaad pls
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani, nina usb flash sandisk 8gb. Nilinunua muda si mrefu. Tatizo lake kila nikiingiza kwenye laptop wakati inafunguka inachukua muda, panatokea green colour kwenye bar from left to right. Mpaka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom