Jaman na wana jf kama kuna mtaalaam wa bb phon anpe techniques za kujiunga na internet bila kununu bandle za makampun. Nataka niweze kutumia net hata kama nanunua mb 50 tu na syo zile za macampun...
Wakuu mambo vp? Niko hapa kuwauliza wataalamu wa simu kati ya hizo hapo juu ipi ni bora kuliko nyingine na kwa kuhusu bei Nokia inauzwaje na Samung inauzwaje?
Mimi ni mteja wa tigo toka mwaka 2000 nilipojiunga kwa mara ya kwanza enzi zile za mobitel. Hivi karibuni nimekuwa nikipata bugudha kubwa sana kwani nimekuwa nikitumiwa mimeseji kibao toka kampuni...
Wakuu naomba mnisaidie jinsi ya kuburn audio cd ambayo inaweza kuplay kwenye Audio cd deck yoyote. Kuna ambazo niliburn kipindi fulani hv huwa hazisumbui kuplay lakini juzi juzi hapa niliburn...
hivi wadau kuna utaratibu wowote unaosimamia upitishaji cables baharini, maana wengine wanapitisha cable za umeme, wengine mawasiliano, wengine mabomba ya gesi na mafuta. je kuna utaratibu wowote...
Heshima MBELE wakuu.
Mwenye Joiku spot ya kuweka kwa BlackBerry 9000 , nahitaji sana wakuu au kuweka kwenye Laptop,
Kwa heshima watakaonipa woote wabarikiwe
idondoshe hapa nitaipata na key zake...
Hii thread aliileta hapa jukwaani Polo, alitupatia mafunzo yenye maana sana ya Digital Video Broadcasting na Satellite Television.
Naomba mtaalam wa haya mambo anisaidie, nina swali moja kuhusu...
habari zenu wakuu,
mimi ninakitu kimekuwa kikiniumiza kichwa kidogo. naelewa kuwa ukimtumia mtu flash sms anapata msg na asipo click save basi haitaingia kwenye inbox yake kabisa. Sasa basi...
Mimi ninatumia king'amuzi cha Zuku lakini ningependa niweze kuongeza FTA channel katika package ya Zuku....Je inawezekana. Kama inawezekana basi tusaidiane japo niongeze channel za bure za dini...
Nina akaunti yangu ya "yahoo" email, lakini huwa inanitatiza pale ninapojaribu kuifunga kuona sms inagoma kabisa ilhali email na password niliyoingiza ni za uhakika.
Nfanyeje wakuu coz nataka...
This is a 250GB ps3 with a wireless dual-shock3 controller, It comes with 5 to 10 games of your choice on the list provided below for a price of $400 only.
Need For Speed Hot Pursuit...
Jamani nipeni ushauri..
Kuna ninayemdai fedha kama laki hivi.. Akaniambia anatanguliza hiyo simu na fedha tutapigiana hesabu anailpe taratibu..
NB. Ni simu original...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.