Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina memory card ya 4gb,naitumia kwenye nokia n70,nikifungua inasema corrupted,nikifomart inasema protected kama kuna mtu anaweza nipa mawazo mengine,thanx
0 Reactions
16 Replies
2K Views
kuflash modem vodafone K-3571-Z
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nahitaji kununua modem , sasa sijui ninunue modem ipi kati ya modem za tigo,voda ,airtel au zantel. Naomba ushauri
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Laptop inawaka lakini kwenye screen zile shortcut hazionekani. Hakuna icon hata mmoja. Sioni namna yoyote ya kuweza kuaccess folders zangu. Nifanyeje jamani? Nimezima nakuwasha kama mara 70 ila...
0 Reactions
2 Replies
856 Views
About Unlocking Windows Mobile Phones "Lot of paid/Box solution available these day to unlock Windows Mobile Phones. we ll not discuss anything about any product. all product related...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Natafuta used 2811 Router 2950/3550 Switch. Wapi nitapata tanzania hii? (nina option ya kunua ebay - mwenye experience na ununuzi ebay naomba hints) Nawakilisha.
0 Reactions
19 Replies
3K Views
khabar za sasa wadau wote wa technolody.... Kwa wenye huawei model hizi,E156 , E155 , E1550 , E1552 , E156G , E160G , E161, E166 , E169 , E169G , E170 , E172, E176, E1762, E180, E182E , E196 ...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika maandalizi ya kuukaribisha mwaka fulani, uongozi wa vodacom uliwahi kuahidi kuwa, ndani ya mwaka uliokuwa ukikaribishwa wangekuja na huduma mpya ya kuchaji simu kupitia mtandao. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nina x-mas tree lights ambayo ina branches mbili. Branch moja inafanya kazi na nyingine haifanyi (taa haziwaki). Baada ya troubleshooting, nikagundua kwamba hizo lights zina fuse ambazo nazo zipo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani labda mi ndio mshamba kabisa. Nilijiunga na facebook tangu mwaka juzi, huko naona kumejaa ujingaujinga na usharabaro, kila mtu anakutaka. Hapa Jf sina muda mrefu lakini nina furaha na...
20 Reactions
134 Replies
11K Views
Ndugu wana Jf ninaomba wanaofahamu ubora wa Nokia E7 wanipe data maana nimejaribu kudownload operamin naambiwa inahitaji frames.Hii simu imeandikwa made from Finland lakini nahisi inaweza kuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu wapi nitapata simu nzuri ambayo inaspeed nzuri ya internet na yenye uwezo mkubwa wa kudownload,camera na memory kubwa na ni aina gani?kwa bei ya laki tano.
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Wadau naombeni mnisaidie katika hili kwasababu hata sielewi tatizo nini,nikiwapigia customer care wanasema watalishughulikia lakini nimekaa masaaa kama saba hivi bila solution. Tatizo lenyewe ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau. Nimekuwa nikitumia browser kusafu jamii forums kwenye simu yangu bila shida yoyote japokuwa kuna limitations mbalimbali lakini nafikiri kuwa inafanya vizuri. Sasa juzi si nikapata bahati...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimekumbana na hili tatizo wakati naingiza hii adapter yenye memory card kwenye laptop yangu. Napata msg kuwa SD storage card has a driver problem. How do i fix this tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Naomba msaada wenu nifanyeje Laptop iliingiwa na virus (Trojan), nime scan bado imificha programs, program ZOTE nikifungua inatokea Window Media, hata Icons zote zaonesha Windows media player.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada wenu kama kuna njia naweza fanya ku unlock hii simu
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Modem ep nzuri kati ya hizi Tigo Vodacom/vodafone Airtel Ttcl Zantel Sasatel Naombeni msahada na ushauri kiufundi
0 Reactions
64 Replies
10K Views
Watumiaji waliokubuhu kwenye matumizi ya blackberry naomba msaada wenu,kuna simu aina ya blackberry 8310 sasa kijana wangu mmoja anashindwa kuiona memory card naomba mnielekeze hatua kwa hatua...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
msaa jamani wa hiyo software ambayo ina key zake nimepata lakini ni evaluation so zinasumbua kwenye network system
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom