Habari JF.Baada ya kupitia forums mbalimbali na kuongea na wa2 kadhaa imenishawishi kuandika thread hii.Sasa ninaweza kusema kwamba inawezekana kupata channels za dstv bure.Camini kama hakuna...
Wadau mu hali gani?
Niliwahi kuuliza hapa jamvini kuhusu tatizo la ubuntu kwenye Hp pavilion dv5-2155dx yangu
kushindwa kupata option ya write click na left click.
Kwa kuwa nilikuwa nimeinstall...
Wakuu Nina modem ya vodafone,tokea jana,umekuwa kero!!unakuta signal zipo,ila inaniandikia the page has not been found.Sijui kama naeleweka hapa.Tafadhali munisaidie
Hi wakuu. Hawa ndo real hackkers. sidhani watu kama hawa wanaweza kushindiwa kupenetrate computer system yoyote ya Tanzania.
Ni kundi linajiitai LulzSec. Hawa jamaa kwa sasa ni tisihio na...
Asee wakuu ma it wa kampuni yetu wamerestrict jamii na facebook sasa mimi nimefanikiwa kuiiba admini password kabla ilikuwa hata kudown load wamezuia nilipoipata hii nikilog in kuitumia nadownload...
Wazee nimesahau password yangu ya yahoo wakati najaribu kuibadilisha nikajikuta nimesahau secret question moja wapo kati ya mawili, kuna mwenye maujanja mengine nifanyeje
In order to save time on converting files to PDF, the function, batch conversion is developed by converter developers. Spire Free PDF Converter is one good choice to batch convert files (including...
Wakuu juzi kati nilikuwa natoka kupata kilaji nikapata kaajali mitaa ya magomeni kama saa 5 usiku hivi, katika kurupushani ya ajali nikatoka nje ya gari kwa bahati mbaya nikasahau kulock milango...
nimewahi kupotelewa na simu yangu sasa hivi ninatumia sum sung nataka kuweka mobile tracker kuongeza security incase nikipotelewa
lakini haina hii option je hapa unafanyaje anayejua tafadhali msaaada
Wazee nimei flash simu yangu nokia 5310 ktk computer yangu lengo ilikuwa ni kuongeza ufanisi wa ki utendaji wa simu yangu. Mwanzo ilikuwa na v.3 sasa ni v.8 ajabu sasa hivi kila nikijaribu...
Wadau kuna ndugu yangu yuko USA nataka nimtumie pesa aninunulie simu kisha aje nayo mwezi ujao
Sio mtaalamu sana wa mambo ya ebay na hizi simu hivyo naomba mcheck hii simu RIM BLACKBERRY STORM...
wakuu natumia modem ya voda K 3565-Z-ila ni kama wiki nzima sasa na ushee haiwezi kuwa connected zaidi ya dakika 15,yaani ukishaiconnect tu-baada ya robo saa inaji-disconnect yenyewe-nimejaribu...
There are several scenes that catch viewers by surprise in HBOs new documentary film, "Google Baby": The exact moment an Indian surrogate mother sees the child she has held in her body for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.