Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za muda huu wanajukwaa, bwana nimefuatilia galaxy note 8 nimefurahisha na specifications zake. Dual camera, big screen size, high ram and other premium features, lakini kinachonipa wasiwasi...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Sokoni kuna antivirus nyingi na kila moja inajinasibu kuwa ni nzuri. Kwa yule mwenye uzoefu na antivirus mbalimbali naomba ushauri nitumie antivirus vipi kwenye laptop yangu?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna mistari inatokea kwenye display (monitor), mistari hiyo inakuwa na rangi ambayo hujaa nusu ya kioo cha monitor Kwa wima (vertical lines). Nimejaribu google wanasema ni graphic drivers au...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu niko Dar nataka kuwa na Sim Card ya Rwanda MTN, Naipataje mwenyewe connection
1 Reactions
4 Replies
939 Views
Habari za humu wanaJF Niende moja kwa moja kwenye mada najua kuna bunifu mbali mbali zimekuwepo na zinaendelea kubuniwa na zinasaidia kiujumla, Ila hii ya kwangu ni yakipekee na inahitaji tu...
0 Reactions
2 Replies
930 Views
Wajuzi wa mambo nafanyaje kutatua hili tatizo la cursor ya mouse kutembea yenyewe? Nime update avast antivirus na kiscan system nzima laki wapi
1 Reactions
3 Replies
772 Views
Inaripotiwa kuwa, Maafisa wamevamia na kupekua Ofisi kadhaa za Kampuni ya Kielektroniki ya Vivo kutoka China kufuatia shutuma za utakatishaji Fedha. Mapema mwaka huu, upekuzi wa aina hiyo pia...
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Wakuu mwezi uliopita rafiki yangu alikuja kunisabahi kutoka Marekani - Washington, mbali na vitu vingi ameniletea pia zawadi ya IPhone 13 Pro Max, Gb 128. Kiukweli, mimi sio muumini wa divice za...
1 Reactions
126 Replies
10K Views
Mimi ninapokaa, mita ya maji inasumbua sana. kuna muda inaweza ikawa hutumii maji kabisa lakini mita inaonekana inatembea, sijajua shida ni nini. naomba msaaada nini cha kufanya.
0 Reactions
6 Replies
709 Views
Wajomba na mashangazi habari zenu, nipo hapa kuomba msaada wenu. Nataka kutuma email zaidi ya elfu kumi kwa nyakati tofauti ndani ya mwaka mmoja nikitumia Gmail, sitakikulipia service ya bulk...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Tuna wasomi wengi sana wa sayansi na uhandisi. Je hakuna namna ya kuchanganya udongo au changarawe na kitu fulani ili kuondoa kusagwa na magurudumu na kutoa vumbi ambalo linaathiri mazingira...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba msaada wa mtu anayeweza kusolve ilo tatizo kila nikijiunga inakataa wanajibu hivyo kama nilivyotuma. Asanteni
0 Reactions
0 Replies
348 Views
Hellow nina simu spack 8c inakamata 4G kwa voda bila chenga pia nina spack 7 yenyew haikamati 4G japo inasapot 4G happ shida ni nini. Wazee ma lain zote no 4G pamoja na simu. !
1 Reactions
4 Replies
429 Views
Habarini wakubwa, Napenda kuuliza kuwa ukiwa unamiliki application ya simu mfano hii jamii forums. Mwanzilishi au muhusika/mmiliki wa app hiyo anapata faida zipi, na kama mapato anapataje...
0 Reactions
1 Replies
505 Views
Waungwana hebu mnijuze app ya kudowload video youtube kwenye pc hatakama mtandao uliosetiwa hauna nguvu....
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimetumia neno UPDATE kwenye heading sababu wengi ndio tumelizoea, lakini hasa nitazungumzia UPGRADE. Japokua vyote vinalenga katika kuleta mabadiliko kwenye kifaa chako(hapa nitazungumzia simu...
38 Reactions
45 Replies
9K Views
Habari za wakati huu wakuu, naomba kuuliza Kwa mwenye ufahamu na Swalla hili. Juzi kati nilikutana na link mtandaoni wanauza simu, computer pamoja na bidhaa nyingine za kieletroniki, nikajaribu...
1 Reactions
8 Replies
503 Views
China's Xiaomi Leads Asian Low-Cost Smartphone Drive Agence France-Presse, May 12, 2014 inShare1 Xiaomi may be little known outside China, but the fast-growing smartphone maker is...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za sasa hivi jamani. Msaada nahisi kuna mtu nahisi anatrack sms zangu na calls je kunanjia au codes anaweza fanya ilikujiondoa
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Naombeni msaada, Nina simu aina ya AQUOS zero 801SH, nadhani Kuna settings nilifanya bila kujua, Sasa hivi nikiwasha data simu inakuwa inajirestart mara Kwa mara, mpaka inaboa. Naomba mwenye ujuzi...
0 Reactions
1 Replies
788 Views
Back
Top Bottom