Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Ni muda sasa naamini hapa Jukwaani ni kisima na msaada tosha kwa mambo mbalimbali. Wadau, nilinunua redio ya SONY model no. HCD-GNZ55D miaka 2 iliyopita. Redio hi imepata tatizo la power. Umeme...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
wataalam wa photoshop. Kuna image nataka nizichakachue ili header ya webpage nayotengeza iwe tofauti Image yenyewe nayotaka kuchakachua ni hii hapa Hii ni image ya header kwenye...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
UKIONGEZA SALIO UTAWEZA KUPATA Dakika za bure;message 100 na MB200 kuangalia dk bonyeza *102*05# ok; kuangalia message bonyeza *102*15#; kuangalia salio la data bonyeza *102*06# ok. Offer...
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Salama wakuu? Tatizo lang ni moja tu,nahitaji kuinstall softwares za windows kwenye linux. Nilishauriwa nitumie ki2 inaitwa crossover au wine lakn naona hazikubali.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani naomba msaada kama kuna namna nyingine ya kui play you tube mara ninapoifungua huwa inaplay kidogo kisha inaonekana ikiendelea kuserch kuja ikaplay bila kusitasita ni hadi ifike mwisho sasa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ninatafuta graphic designer wa kujitegemea ambaye anaweza ku design signage, brochures(A4), posters (A2), Fliers (A5), na T-shirt. Nitumie ujumbe kuhusu gharama zako.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaji auto cad kwa computer yangu, naomba msaada wa kuipata wakuu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heshima mbele wakuu, hii kitu sijaisajili,na muda a majaribio kwishnei; tafadhali naomba key za kuniwezesha kusajili hii kitu ili niweze kuendeleea na kazi! MS OFFICE 2007! Shukrani mbele.
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Kwa anayejua trend nzma ya cisco ansaidie. Kwanza nahtaj kujua gharama ya pepa zao, pili ni lazma kuwa na review center .? Tatu mitihan yao huwa inafanyika kpnd gan cha mwaka, na mwisho ni kituo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Mimi nipo Kondoa natumia moderm ya zain (USB stick) hatupati mtandao wa internet kama miji mingine. ninapokwenda Dodoma au Arusha napata 3G rangi ya bluu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
je kuna uwezekano wa kuongeza speed ya internet kwakutumia simu km modem?
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Kwa wadau wa blogs watakaopenda kubadili blogger favicon zao tafadhali Gonga hapa: MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Tafadhari mwenye maarifa ya kutosha juu ya uchakachuaje wa modem ya Voda aina ya K3565 -Z, nimejaribu kuchakachua lakini kuna sehemu imenishinda, nilifanikiwa kuweka dashboard ya JOIN AIR na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nimeshamaliza kuandika progam yangu, ila nataka niiweke kwenye cd ili watu wengine waweze kuinstall, nifenyeje? from the start to stop, please give the algolithim of that problem, thanks for your...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo vp wakuu? naomba msaada wenu computer yangu haitunzi screen saver wala wallpaper kulikoni? nifanjeje, inawezekana ni coz of WINDOWS 7? please, help me.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
naitaji ushauri wana JF,naitaji genuine antivirus that can save 100 users with minimum price na je hizi kaspesky au norton zinazouzwa elfu 35,000 for single user na 60 kwa 3 users ni za kweli...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Tayari nina executable codes but i what to change them into setup, what can i do guys?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sina hakika kama hapa ni mahala sahihi kwa hii post yangu, lakini issue ni kwamba hivi karibuni nilihisi kupungukiwa pesa kwenye simu yangu, nikashangaa shangaa nikaacha kama ilivyo. Sasa leo...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujua kama hizo modem za tiGO zina chakachulika ili ni wanunulie vijana wangu wajimwage na Airtel, wamezishusha bei hadi TSH 30,000. jinsi ya kuchakachua. Wakuu, Kwenye...
0 Reactions
116 Replies
14K Views
Run It As Admin The rest will do by It self! Vista7 Slic Ldr.exe Enjoy!:violin:
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom