Wakuu hili jambo linaniumiza kichwa sana kipi ni sahihi kama kichwa cha habari kinavyojieleza nataka ninunue ps4 slim jailbreak lakini jamaa yangu ameniasa niachane nayo.
Naomba mnipe faida na...
Habari wana JF-Science Forum
Nina tatizo na jinsi ya kum-tag mtu katika post au ku-link web au kitu katika post, je vitu hivyo viwili naweza kuvifanya vipi humu kwenye JF?..
Kama kuna uzi ambao...
Jinsi ya kutengeneza virusi hatarishi
Tunaishi kwenye ulimwengu wa Teknolojia ambapo wengi wetu tunatumia simu au kompyuta kufanya mambo mbalimbali ulimwenguni. Najua umeshawahi kusikia kuhusu...
Wadau habari za muda huu,
Nina frequency za radio ambayo inapatikana almost mikoa 3 Sasa, naomba kusaidiwa yafuatayo:
1) Ni namna gani nitaunganisha Radio na YouTube channel ili vipindi viwe...
Hi Guys!
Katika kila galaxy kuna super massive Black Hole at the centre. Black Hole sio nyeusi kivilee kama jina linavyotaja.
Black Hole ina emitt radiations zinazoitwa Hawking radiation. Sifa...
Tatizo la Pc kustuck ghafla na kutoa mlio flan kama jenereta uku picha ikiganda ni mpaka uzime uchomoe waya wa cable itulie kwa dakika 10-30,ndio uwashe na ukiwasha ukiangalia movie kwa dakika 35...
Habari za siku ndugu zangu wa JF natumai mko salama na wazima wa afya kabisa
Naombeni ushauri wa juu ya aina ya simu ambayo inaweza kufaa kusogezea siku hasa kwa wadau wa mambo haya ya teknolojia...
Wakuu kwa mwenye uwezo na tatizo nililotaja hapo anisaidie simu yangu ni ifinix note 8i imegoma gafla kutumia kidole
Hata mfumo wa kuiset umepotea namanisha hakuna sehem palipoandikwa fingerprint...
Habari Wadau hope wote mpo poa
Sasa wakuu kwa sisi wengine internet no very important na mitandao ya simu nu zengwe fupya mpini yaand unaenda Huuliza unlimited internet unaambiwa 50,000 lakoni...
Habar ya wakat huu wana JF?
Mimi ni kijana mjasiriamali, elimu yangu ni juu (kibongo bongo) ngaz ya shahada (degree).
Tang nikiwa mdgo nimekuwa na hamasa/kuvutiwa xana na mambo ya kisanaa hasa...
Tunaburudika tukiwa mbali na nyumbani, tunapuuzilia mbali kutumia simu ya rununu kwa muda na tunapoangalia mfukoni, begi au mahali tulipoiweka, haipo tena.
Wezi wanaweza kuwa na ujuzi mkubwa wa...
Habari za siku wakuu,leo kuna simple tutorial yakuweza stabilize video ulizo record kwa simu yako kwa njia rahisi sana,na kupitia app common sana.
Video stabilization ni nini?
Ni algorithm ndani...
Wataalamu naombeni msaada, app ya Whatsapp haitaki kuclear data, Ina mb 400 nikiclear data zinabaki vilevile, nimejaribu kuifuta na kuidownload upya lakin bado shida iko pale pale.
Hello habari zenu,kuna simu yangu imeharibika haiwaki kabisa nahitaji kuzipata picha na documents zangu, naomba mnijuze njia ipi nitumie nizirudishe maana sikusave kwenye Google Drive.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.