Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za mda huu waungwana!!!! Natumia Samsung grand prime plus, ambayo storage yake ni ndogo sna kwa hivyo niliamua kununua Sd card au memory card kama wengi wetu tulivyo zoea kuiita. Kila kitu...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu. Shida yangu ni kujua kama kuna uwezekano wa kuhamisha contancts zako kwenye e-mail yako ili uzipate endapo simu itapotea au kupata matatizo. Akhsanten Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
815 Views
Wakuu kuna Tekno W2 naomba msaada wa kutoa Google Verify. Nimetumia njia za zamani imeshindikana naombeni maujanja mapya. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
743 Views
Nna PC imezima na window haiingii kila niki enable legacy nikirestart inarud kwenye disable hvyo haitoi option ya kupga window kwa flash au DVD msaada. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
979 Views
Habari wana jamii forum kuna uzi niliwahi kusoma hapa kuwa kama simu yako ina internal storage ndogo unaweza kununua sd card or memory card original yenye gb kuanzia kumi na kuendelea na...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Msaada wana jf nilikua na-install pes17 ikaniandikia imemiss d3dx9.dill-43 msaada nifanyaje wadau? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Habarini, kuna mtu anauliza Emmanuel tv anaweza kuipata kny kifurush gan kny Startimes? Siku njeema nyoote!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilikuwa narudisha window 7 kutoka window 10 nikajikuta nafuta kila kitu. Nimepata program ya Disk drill lakini wamenipa limitation ya GB za kurudisha zilizobaki inabidi nilipie. Msaada wenu wana JF.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
FRANKFURT- German drug maker Bayer has contained a cyber attack it believes was hatched in China, the company said, highlighting the risk of data theft and disruption faced by big business. Bayer...
0 Reactions
0 Replies
784 Views
habari za kwenu me nahitaji kupata kujuwa garama za kutengeneza app za mobile.ningependa pia kujuwa garama za app na kampuni nzuri ambazo wanatengeza
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Ms office inakataa ku exctract kwenye windows 10 inahitaji more volume ingawaje Kuna more than 200GB free,naombeni msaada. Nilidownload kwenye link ya bitdownload.ir Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hallow,habari. Tafadhali mwenye kujua jisni ya kujisajili na hiyo huduma ya double click tafadhali atusaidie side ambak hatujuu
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau mwenye softwere ya window ten ikiwa highly compresed kuanzia mb 100 kushuka chini anipe link au anitumie nitampa hela ya maji Sent using boeing 737 max8
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Hii utatumia kama trial na muda ukiisha weka acc ingine na mzigo utapiga kaz kama kawaida Download ExpressVPN Hii iko powa sana TAHADHARI baadhi ya vifaa vinasumbua kwa toleo hili, watumiaji...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nillikuwa nafanya shughuli zangu kwenye pc yangu kwa bahati mbaya nimeiformat partition yenye taarifa zangu binafsi Gb 150 naomba msaada wa kurecover naombeni msaada jinsi gani niweze kupata japo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nimeibiwa simu yangu ni samsung nataka kuitafta lakini sina imei number nilienda police wakasema mpaka nilete imei lakini box la simu nilishapoteza nimejaribu kutafta imei kupitia google...
0 Reactions
9 Replies
890 Views
Naombeni kwa mwenyekujua product key za Microsoft office 2013 anisaidie.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
NATAFUTA DIAGNOSIS SOFTWARE/APPLICATION YA MAGARI YA KUTUMIA LAPTOP Tafadhali naomba msaada kwa mwenye uzoefu au uwelewa namna Kuitambua software inayofaa kwa mazingira yetu na aina ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niaje wakuu anayehitaj acc ya propeller ina 52.43Usd kama unahitaji nichek ukitk na card nakupa whatsap n call 0716483005 Nahitaji hii ela kwa acc tu NB..Nimeshindwa kutoa mana tarehe imepita...
0 Reactions
4 Replies
879 Views
Naomba kujua maana ya hii applications ya gb whatsApp na ina tofauti gani na apk ya WhatsApp ya kawaida. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Back
Top Bottom