Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Tupeane elimu kuhusu hiki kitu na jins gan unaweza kutengeneza pesa kupitia YOUTUBE.......!!!??
0 Reactions
2 Replies
561 Views
Kama kichwa hapo juu, naomba nitoe somo kidgo kuhusu namna ya kurudisha au kutoa documents zako zilizofichwa na virus kwenye frash yako,. ni rahis sana na haitakugharimu kitu chochote ,fuata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salam kwanza... PC yangu inatatizo la kuacha kusoma USB hadi u restore ndo inasoma but haidumu tena muda mchache tu inapotea! Msaada plzzz! USB ni nzima na haina tatizo lolote inatumika vizuri tu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
sijasahau password kwenye pc yangu aina ya toshiba inayotumia window 10 lakini imenigomea,na passwerd ilikua ya local accont,naombeni msaada wenu wanaforum
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Leo ni siku ya ku-unlock simu zinazohitaji unlock code bure ili kudumisha mahusiano mema na wateja wetu. Tuma aina ya simu na imei namba zake pamoja na provider code (kwa vodafone huwa zinaanza na...
1 Reactions
52 Replies
15K Views
Habarini wakuu,,Ni kwa mara ya kwana napost kwenye jukwaa ili sasa mada yangu sijui kama nmeileta sehem sahihi Mimi ninakabiashara ya kampesa,,,kwahiyo kidogo ninakaufahamu kahusu mpesa,tigo...
0 Reactions
15 Replies
10K Views
If thread repeated, forgive my manner! For those run for RHCE, RHCSA, RHCA, MCSA, MCSE, CCNA and CCIE, and other courses regards systems administration ill post some material here once a week, if...
1 Reactions
1 Replies
660 Views
Naomba msaada shut off button haifanyi kazi labda utumie right click, au control-alt-delete then utumie button ya upande wa kulia ndio utaweza kuizima. Nipo kariakoo wapi ntampata mtaalam...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwa anayetaka icloud id info za mtumiaji wa mwanzo(email,namba za simu,mahali anapoishi) zinapatikana,NO PASSWORDS. 65$ anayehitaji aje PM. Zinapatikana kwa imei number,na ile email inayodisplay...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Wachina nasikia walishazindua hizi drone tax, sjui lini zitafika Bongoland asee
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu salam kwanza Kama uzi unavyojieleza pc dell latitude D 830. Ina shida ya wireless internet service inagoma shida ni na ina chagua flash na sim android Izi mpya zinakataa kusoma shida ni nini?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
AS SALAAM 'ALAYKUM WARAHMATULLAAHI WABARAKAATUH BismiLLaah, AlhamduliLLaah In shaa Allaah, Leo Tutajuzana JINSI YA KUTAZAMA VIDEO ZA YOUTUBE BILA KUWASHA DATA. MAHITAJI 1. SmartPhone 2. MBs...
5 Reactions
103 Replies
17K Views
The wait is over!!! Ile software ya laki mbili ya kusaidia youtubers kufanya research ya competitors wao na kushika namba nzuri youtube imevunjwa.... usi - update...ifungue then minya start bila...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
naomba wadau mwenye KEYS za microsoft office 2003 PLEASE I BEG YOU.
0 Reactions
7 Replies
780 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, nilikuwa na flash yangu nilihifadhi documensts za muhimu sana lakini nashangaa leo nimefungua documents zipo lakini hazifunguki. Zinagoma halafu nikihamisha...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
kama nlivyoeleza hapo juu simu yangu ni aina ya vivo y51 naomba msaada pamoja na kuwa na 4g 3g inabaki kwenye E hata nikibadilisha haikubari nifanyeje?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za kwebu, Nina shida katika Ms- excel 2017 Haifungui document ambayo ipo kwenye CD wala flash inaandika 'There was a problem sending the command to the program'
0 Reactions
2 Replies
680 Views
Salaam wakuu! Nahitaji Fundi mzoefu wa Flat Tv. Tv yangu ni aina ya TECHWOOD 32" .. Tatizo ni power. Kama yuko tayar kunitengenezea nyumbani kwangu ni PM . Nyumbani ni Mjimwema Kigamboni NB...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom