Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nataka namna ya ku fungua pass code ya screen ya iPhone. Nataka nifanye hivyo bila kupoteza data. Zamani ilikuwa rahisi kufungua kwani aliweka date of birth naona imebadilishwa sasa screen lock...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Facebook wataanza kuonyesha videos za show mbalimbali za watumiaji wake kama Youtube na vituo vya runinga. Wataweka tab maalum kwa ajili ya videos. Watumiaji wataweza kutoa maoni chini ya video na...
0 Reactions
1 Replies
754 Views
Kampuni ya Vifaa vya Umeme ya Toshiba imetangaza kupata hasara ya Dola Bilioni 8.8 katika kipindi kilichoishia mwezi Machi mwaka huu. - Yatakiwa kuuza kifaa chake cha kutunzia kumbukumbu cha...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
0 Reactions
0 Replies
470 Views
kwa wataalamu ivi Ukiachana na kidole na pen ya kutachia,kuna kingine kinachoweza kufanya kazi hiyo msaada please
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kuna jia mbali mbalibsana zinazotolewa lakini zingine zinakuwa ndefu kiasi cha kushindwa kuzimudu na watu wengine kuishia kuzima akauti zao. Kufuta akaunti yako ya facebook kunaweza chukua siku 90...
2 Reactions
9 Replies
24K Views
Ni app gani inayozuia namba ngeni ukiondoa truecaller.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Poleni na kazi wadau,simu yangu haitowi mlio wakati nikipigiwa,hata video zote pamoja na miziki pia hazitowi sauti.Hii ilitokea majuzi asubuhi nasikiliza kipindi cha BBC,ndo sauti ikakata...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema Nina simu Tecno C9 lakini hivi karibuni imekuwa ikinisumbua hasa kwenye mfumo wa Bluetooth na hotspot nikiwasha baada ya sekunde kadhaa inazima hivyo hivyo na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mods futa hii post, nimeshindwa.. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
579 Views
Naombeni msaada wakuu jinsi gani nitaspeed up ota upgrade, Najaribu kufanya system update tokea Jana lakini bado nimekwama kwenye 28 percent Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
949 Views
Heri ya sikukuu ya nane nane wakuu. Naomba leo tuzungumzie juu ya changamoto ya upatikanaji wa taarifa kwa watu wanaotaka kupata nyumba. Kupitia mijadala yetu tunaweza kupendekeza na njia...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari wana_jf Ni Mara nyingi nimesikia taarifa Na kuona pia baadhi ya watanzania wakibuni vitu mbalimbali kwa UPEKEE wa hali ya juu...mfano >>m_tz aliyebuni ndege inayotumia mafuta ya taa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
ndugu zangu naomba msaada mwenye nazo anisaidie maana USD 79 ni ndefu sana kibongo bongo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa wataalamu ivi Ukiachana na kidole na pen ya kutachia,kuna kingine kinachoweza kufanya kazi hiyo msaada please
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Naombeni mwenye kujua anisaidie application ambayo naweza kuitumia kusajili namba za voda. Nahitaji nijiajiri kupitia kusajili line. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu Natumia HP elite book 6930p inayotumia windows 8.1 Hivi karibuni nimekuwa nasikia kelele za feni iliyopo upande wa kushoto sawa au karibu na power button. Na kuna wakati nikichomoa ac power...
1 Reactions
9 Replies
8K Views
Guys nina sever yangu barand new HP ina ram 40gb, Hdd !tb na quad processor. na nina PC kadhaa za thin client aina ya HP atom spec: intergrated( HDD 2Gb, 1Gb RAM). Ninachohitaji hee sever...
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Hali zenu wanajf.......memory card angu sijui ina matatizo gani nikidownload vitu inanambia internal storage isn't enough nikiangalia GB za memory card zipo nyingi tuu nimejaribu kueka anti virus...
0 Reactions
10 Replies
659 Views
Msaada wakuu product keys za window 10 Enterprise Evaluation please
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom