Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari ya saa hii, wakuu naomba msaada wa android emulators nyepesi inayo support whatsapp mbali na bluestack maana ni nzito kufunguka katika window 10 pc.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kichwa cha habari kinahusika, msaada tafadhalini. Mnao fahamu naomba mnijuze.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari JF, Mchakato wa udahili wa masomo wa elim ya juu ( chuo ) umeenza. Baada ya TCU 'kuwekwa' pembeni kwenye mchakato mzima wa udahili mwaka wa masomo 2017/2018. imebid vyuo vingi vije na...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
msaada anayefaham,,,nashindwa kuroot simu tajwa hapo juu,,,nimetumia kingo root ikifika asilimia 90 sim inazima na ikiwaka hakuna kinachoendelea Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Ningependa kufahamu kati ya Processor hizi mbili ipi iko faster na yenye Performance nzuri. 1. Intel Core i5 - 3.2GHz Processor, 4th Generation, 2-Logical Cores. 2. Intel Core i7 -...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wataalamu waliofanikiwa kuflashi aina hii ya simu,,,mlifuata hatua gani mkafanikiwa..
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni kampun gani nzuri zinazotoa ads kwa ajli ya blog hapa tz ukiaacha seebait na kwanza
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Jamani ni mda tu natumia simu aina ya samsung note 3.jana nimepatwa na tatizo la screen kutumika nusu namaanisha icon zimekuwa ndogo, kila nikiset font hakuna msbadiliko naombeni msaada.viandishi...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Wakuu naomba mwenye uelewa mzuri na hizi line za tigo pesa au mpesa nk anieleweshe vizuri akitokea mtu anataka kuniuzia ni jinsi gani ya kuijua ufanyaji wake wa kazi?? Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
2 Replies
759 Views
Kuna utofauti gani jamani kati ya Iphone na ipod Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Baanda ya kuhangaika sana nimefanikiwa kutumia bixby kwenye s8 yangu. Process ni ngumu kidogo. Ila ni 1. Kwanza ni kuroot simu.( ni lazima simu iwe rooted) 2. Kuinstall TWRP.( hi ni kwa ajili ya...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Leo July 25, 2017 wadau wa mawasiliano Tanzania na China wamekutana kwenye Mkutano wa pamoja ‘Round Table Meeting’ uliofanyika Dar es Salaam kwa ajili ya kuzungumzia issue ya matumizi ya internet...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Link: https://www.kaspersky.com/free-antivirus Kampuni ya Urusi Kaspersky imetangaza kuwa itatoa Kaspersky Free software ya antivirus ambayo itakuwa ni bure. Software hiyo itakua haina baadhi...
6 Reactions
22 Replies
4K Views
Jamani nahitaji kujua namna gan unaweza ukatengeneza app ya android nahitaji msaada huo ndugu zangu Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwa anayefahamu, naomba kujua namna ya kutengeneza application kisha kuiweka Play store ikiwa ni pamoja vigezo husika. Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
5K Views
Wakuu, Naomba kufahamu ivi naweza nikafanya backup ya picha zilizofutika kwenye simu ambazo zikuzisave "Google drive"??? Hakuna namna yoyote ya kufanya manuva?? Ni hilo tu kama wafahamu naomba...
1 Reactions
1 Replies
863 Views
Wakuu Kama inavyosomeka hapo juu. Nataka Wiki hii nisome javascript kwa ajili ya web development
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Salama wana kama kinanyo sema kichwa cha habari hapo juu naweza kupata Adobe CS4 Master Collection au nikapata nusu nusu pia itakuwa poa sana sana nahitaji adobe illustrator na adobe premiere...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jaman wanajanvi kwa anaye fahamu Maduka ya PC mpya kwa bei nafuu jijini mwanza msaada tafadhari Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Habarini ndugu natafuta mtu anayefanya graphics kwa kutumia maya2017...kama yupo ajitokeze tuyajenge Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
506 Views
Back
Top Bottom