Habar zenu wana JF.
Msaada jinsi ya kuandika batch script ambayo itaweza kurename filenames kwa kuongeza namba kuanzia moja mpaka namba ya mwisho kutegemea idadi ya files kwenye folder lakini...
Habari ndungu wakubwa kwa wadogo
Naombeni msaada nmepata laptop kutoka dubai kwa sh laki sita aina ya mackbook pro (apple laptop) sasa jinsi ya kuisafirisha kuja tz nifanyeje?
Hatimaye kampuni ya apple inatarajia kuzindua simu ya iphone 7 hapo leo (siku ya jumatano).
Matarajio ya wengi ni kwamba iphone 7 itakuwa na camera yenye lens mbili, na tundu la kuwekea earphone...
Toka nimeanza kutumia whatsapp sijawahi kulipia subscription fee na ukiangalia application hii haina matangazo. Je whatsapp wanapata vipi faida au wanatengeneza vipi pesa
magwiji ya kutengeneza simu jana wametambulisha bidhaa yao ikiwa na vitu vizuri lakini kwa upande wa betri mm naona kama ndogo vile nafikiri huku bado hajafika
[Wakuu naomba msaada wa Ku unlock Broadband ya Smile LTE/4G nimeweka line nyingine lakini bado inaandika Smile 4G. Naombeni mbinu za Ku Unlock itumie laini zote.
Hii device inaitwa
Franklin...
habari zenu wadau
mimi ni kijana mdogo tu nategemea kwenda chuo kiku mwezi ujayo..nimeplan kununua laptop kutokana na kukosa uzoefu nimekuja hapa ili nipate ushauri wenu....ningependa sifa ya...
Habari zenu ndugu zangu, kwa muda mrefu nilikuwa nikitafuta software ya windows platform ambayo ni rahis na inaweza kuedit na create movies au music videos, nimejaribu kutumia power director...
Nina kadi yangu ya CRDB VISA Nnimkuwa nikiitumia kufanya manunuz ya mtandaon tangu nipewe nilishafanya manunuz Mara 4 tu na zote ilikuwa mwezi wa 5 ,na kabla ya kufanya hiyo mihamala Nina...
Habari zenu
Simu yangu aina ya Samsung J5 imevujiwa wino kwenye display, natafuta mtaalamu au mahali ambapo wanabadilisha kioo kwa uhakika
Kama yupo anisaidie tafadhali...[emoji22] [emoji22]
Ninamiliki simu aina ya Huawei Y530 na pia nimeiroot. Lengo mahususi la kuiroot ilikua ni kupata fursa ya kupdate android yake kutoka 4.3 to Lollipop or any other latest version.
Lakini...
Nitoe pongezi za dhati kabisa kwa Halotel ukilinganisha na mitandao mingine ya kawaida ya huduma za mawasiliano. Binafsi karibuni nimetumia mitandao mitatu Tigo, Airtel na Halotel kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.