Wakuu heshima mbele,
leo natamani tutathmini kwa pamoja huduma zinazotolewa na hizi kampuni mbili.
1. Vifurushi
Zuku wana vifurushi vya aina 4: Zuku classic, Zuku premium, Asia classic na Asia...
Salamu zenu wakuu, nina tatizo la kulogin kwenye facebook account yangu, mara nyingi nikiwa natumia facebook kwa pc huwa na log out na kulog in huwa inakubali, bt asubuhi hii nimejaribu kulog out...
Ni kwa uwezo wa Mungu tumeweza kuiona siku nyingine mpya WanaJF. Tafadhali kwa yeyote ambaye amewahi ku-face hili tatizo na akafanikiwa kulitatua, basi atoe msaada maana mpaka sasa sijapata...
Wakuu poleni na majukumu, natambua uwepo wa mafundi laptop humu sasa shida yangu ni kuwa umeme umeniunguzia laptop yangu, Je nifate taratibu zipi kurepair power supply ya ndani ambayo probably...
Habari za asubuhi wadau, nilidownload theme kutoka mtandaoni lengo langu ni kuibadilisha ile theme niweze kuitumia kwenye website yangu nna nikafanikiwa kuibadilisha. Tatizo limekuja baada ya...
Jamani ehhh nishachoka na hawa followers wangu ni kidogo sana naombeni msaada wenu wakuu nataka nipate angalau followers 1000 tu watantosha mwenye maujanja naomba anielezee jinsi ya kuwapa
Habari,
Nilinunua Sony DVD Home Theatre( DAV - TZ150)na kila ninapoweka flash ili kucheza miziki ya MP4 formats ina display message " Video Frame not supported" na sauti unaisikia ila picture Ndio...
Habari zenu wakuu,
Kama kichwa cha habari kilivyo, Tablet yangu ilikuwa slow sana nika amua kufanya factory reset. Yaliyonikuta baada ya kui factory-Reset kuna maandishi yanakuja. Bahati mbaya...
Wakuu nawezaji kujua jina la mtu na mahali aliponipigia ikiwa kwenye simu yangu hakuna jina lake nimekuwa nikisumbuliwa sana na namba ambazo sizitambui.msaada kwa anaye jua
Nilikua naitumia kwa kipind kirefu sana lakini sasa hivi mwanga wa screen umezima kabsaaa japo kuw inafany kaz vzur lkn mwanga ndio tatzo lkn cha ajabu zaidi ukiwa unaiwasha PC mwanga unatokea but...
Habari wataalamu..
Hii inaeza isiwe ngeni lakini si mbaya kurudia ili kuwapa mwanga wasiojua kama mimi namna ya kubold, kuweka maneno yao kwene italics na pia kustrike through pindi watuamiapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.