Habar wana JF,polen na msiba wa jembe wetu Kanumba Mungu amweke pema.amein,ninayo furaha kujitambulisha kwenu kama mwana jf hivyo naomba ushirikiano wenu,heri ya Pasaka kwenu wote.
Enyi wana JF. naja jukwaani na yangu machache ili kuzitafakari mada mbalimbali. Wote wenye fikra pevu nikaribisheni kwa uchache wa wivu, wepesi wa chuki, wingi wa upendo na uzito wa furaha ili...
salam wana thread!
Mimi pia ni mgeni pande hii,nijejiunga jana ila mashkoro magen yamenifanya niwe na kimbele nyuma!
Kimbele ni kwamba nilianza kuchangia thread na kupost zangu bila kuji...
Kutokana na umuhimu wa jf nimeamua nami kuingia jukwaani humu ili niweze kushiriki katika mambo mbalimbali ni matumaini yangu kuwa kuna ex-seminarians wengi ambao wamenitangulia ila nasema tupo...
ni muda mrefu nimekuwa nikitamani kujiunga JF lakini hatimaye nimefanikiwa kujiunga nitashirikiana na nyinyi wadau kuchangia yale yanayojiri kwa mustakabali wa maendeleo yetu vijana na taifa kwa...
Wapendwa wasomaji,
naitwa Lennard, natoka Ujerumani na nilifanya kazi mwaka jana kwa Tanzania Renewable Energy Association. Bado nasoma gazeti ya Tanzania na minapenda kuhifadhi mawasiliano na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.