naitwa Mgaya D.W,mwanajf mgeni wenu.nimechagua jf kuwa darasa na mwalimu wangu.nimewachagua wanajf kuwa walimu na viongozi wangu ktk kujadili,kudadisi,kuibua,kutafakari na hata kutafiti mambo...
Umeme wa Tanesco haupiti ktk kanisa la FGBF chini ya kiongozi wake Ask. Kakobe. Kama gazeti moja lilivyoripoti leo kwa kichwa 'KAKOBE AFANYA KWELI'
:Ule umeme wa 132kv uliolazimishwa kupita...
Nimekuwa nikisoma taarifa zenu mbali mbali kwa kutumia phone.Sasa nimejua jinsi ya kutuma thread mbalimbali,kuchangia,kupm.nk.Nikosea namba mnikosoe kwani naamini nyie ni watu muhimu kwangu
Mgeni mim sio mgeni kihivyo sema tu nilikua siku zote nachungulia leo nimeamua na mim nijitose ndani.
Heshima kwenu waheshimiwa.
Kwa pamoja tulisogeze mbele gurudumu la Tanzania lifke kule...
Nawapenda woooote humu ndani!Zaidi sana kwa wote wenye kuitakia mema cdm! Nimekuwa msomaji mzoefu wa jamii forum ila ckuwahi kujiunga. Nimeamua kujiunga rasmi ijumaa ya last week so hope...
Nipeni nafasi katika jukwaa hili la kijamii ambalo limetupa mahala pa kusema dukuduku zetu kwa ustawi wa Mtu,kaya,jamii hadi Taifa. nipeni nafasi ya mbele pale meza kuu ya jukwaa hili tukufu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.