Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Mimi jamani mgeni humu kwenye Jamii Forum. Naomba jamani mnipokee kwenye jukwaa lenu ndugu zangu. Kwa pamoja Jamii Forum itasonga mbele
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Jamani nimechoka kupiga chabo na nimeamua kujiunga humu ndani Nimesoma sana humu mnazungumzia magamba na magandwa. Kama magreat thinker wenye hoja zilizonona naombeni mwongozo wenu, niwe gamba au...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
hellow! hellow! anybody home?
0 Reactions
5 Replies
811 Views
Hodi mpaka ndani wanajamii
0 Reactions
6 Replies
817 Views
Hey members, surely hii JF inatisha, nimejifunza mengi within a week ambayo nimejiunga hapa...tuendeleze gurudumu hili kwa kubishana kihoja na kuelimishana. NB: Msamiati _ "Kameruni" umetawala...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Ninatumia nafasi hii kujitambulisha kwenu. Asanten kwa kunikaribsha
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamani wazima! Mpo? Nawasalim naomba mnikaribishe! 124 hapa. Nimewakuta bila shaka
0 Reactions
7 Replies
813 Views
Haki ya Mungu napiga hodi tena kwa nguvu...ba mods,ba nkima,ba ngosha,ba miyala,mwapanga?molemola?monile?subay?amang'ana yawe?mulimu? Ukivukwa na nguo sharti uchutame ....Hodiiiiii wanajamvi.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nawasalim wote JF members, Mwali hapa, na mimi nimeona nijiunge nianze kuchangia sasa... Naomba mnikaribishe sababu nina uoga kidogo kuongea kama sisaidiwi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Hodi hodi jamani, baada ya kuamua kuacha rasmi kuwa mtazamaji au guest jamani naomba mnipokee kwa mikono yote miwili ili nami nijisikie nipo nyumbani! Kabla ya kujiunga itifaki imezingatiwa kwa...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Naitwa 'Bustani', ninayo furaha kujiunga rasmi jukwaani baada ya miaka mitano ya kuangalia yanayojiri kutokea mbali kidogo. Tuko pamoja katika ujenzi wa Tanzania mpya!
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kusema kweli jamiiforums iko juu kimtandao. Najilauimu kuchelewa ku-be-adapted nao. Lakini waswahili husema, 'Heri nusu ya shari kuliko shari kamili.' Tuko pamoja waungwani, kwa kasi mpya, na...
0 Reactions
7 Replies
900 Views
hodi hodi waungwana.........naomba msamaha.........invisible nisamehe
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Duu!,JF mko juu nafikiri nami mtanipokea ili tupeane suport.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanabodi. Najuta sikupita huku wakati najiunga JF... Naombeni mnipokee bandugu nawapenda wote wana JF.. Nifundisheni nikikosea mnielekeza na mimi niwe Great Thinkers kama nyie..
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Mie sileweshi ila niko imara kwa hali yoyote ya baridi hata joto yaani nahitaji tu mtambue uwepo wangu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari zenu bana, mimi ndio kwanza najiunga na jamii forrum hivyo naomba turushiane kila kilicho kizuri especially vacances Hasanteni sana wakuu!
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nawaaga jamani nashukuruni kwa kunipokea vizuri ila sina budi kuwaaga am leaving for guud byyyyyyyyyyyyye jf
0 Reactions
61 Replies
4K Views
hello JF members, mi mwenyeji wa forum lakini ni mgeni kutokana na kutokuwa hewani kwa miaka hivi, so now nakua member kamili naombani mnikaribishe tena
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hello members wa Jamii forum Naomba kukaribishwa ili kujifunza na kuwafunza wengine
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom