Nakupongezeni nyote mlonitangulia humu ndani kwa mada na habari motomoto za kuelimisha. Mimi mwanachama mgeni wenu naomba mnipokee, bila shaka mtanikaribisha nami ninaahidi tutakuwa sote pamoja...
Nawasalimu wakuu! nimerudi na ID mpya baada ya kupigwa ban ya wiki moja! naomba mnijulishe jinsi ya kuomba msamaha kwa mederators ili wanisamehe na kuniondelea ban! ni kosa la kwanza halitatokea...
Ckujua kama kuna mitandao ya maana kiac hichi hapa TZ, nailaumu nafc yangu kwa kukosa ufuatiliaji wa mambo yenye maana na manufaa ktk kukuza upeo wa kufikiri na kuchanganua mambo, all in all...
hi! Jf mimi ni mmber mpya humu na nimefurahi kuweza kujiunga na ma great thinker though ni juniour katika hili jukwaa nategemea support kubwa kutoka kwenu wakuu. Siku njema.
I mite be a cat/machine/human or any asset but as long as I live in TANZANIA I bliv I nid a change in my country,and it shud start within us..I bliv am in the right place...I av been reading this...
Hi JF members. I have just joined this forum of great thinkers after being a guest for quiet sometime. I admire the way you use facts & logical arguments to agree or disagree. Well, Happy New Year...
Habarini wana JF!
Ndio kwanza nimeingia kwa janvi!, msemaji mpyaaaah,.
Msaada wa kurukaruka humu janvini kwa raha, heshima na taadhima! Ndicho nnacho kiomba!
With due respect!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.