Wadau JF kwa muda refu sasa nimekuwa naitembelea hii forum kama guest lakini sasa nimetimba jukwaani nami nichangie mawazo yangu kwa ujenzi wa nchi yetu.
Bila kusahau kutafuta na mke wa pili...
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikiusoma mchezo kama mtazamaji ila kwa sasa naamini nimeiva kwa ajili ya kucheza mchezo huu maalum kujadili hoja mbalimbali kwa ajili ya usitawi wa ka nchi kangu tz...
hodi wenyeji wa jumba la watu makini. kwa jina naitwa rachi hatimae nami leo nimebisha hodi.ni matumaini yangu kuwa mtani karibisha na kuniongoza.jamani hodiiiii hodiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.