Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
jamani mimi ni mgeni ktk jamii hii, nategemea ushirikiano wenu ktk kutimiza malengo yetu. Mungu awe nanyi.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Just joined today although I have been a regular visitor for a few years. Hope to be more involved as a member sharing information and having fun with ladies/gentlemen connected to the forum. Talk...
0 Reactions
6 Replies
908 Views
Naomba mnipokee mwanajamii mwenzenu.Nimekuwa nikiifuatilia hii forum tangu mwaka 2007 lakini sasa nimeamua kujiunga rasmi.Naomba mnipokee wandugu.
0 Reactions
16 Replies
1K Views
I'm not really new, but I forgot to introduce myself when I joined this forum so here I am. I'm a person who's interested in music, literature & story writing and learning new languages. I love...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hodi hodi humu ndani?
0 Reactions
9 Replies
1K Views
habari zenu jamani wapedwa wa JF! naomba munipokee kwa mikono miwili! sijui A wala B!
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Email Print [CHORUS] 25% of all men are unstable 25% of all men can't be faithful 30% of them don't mean what they say and 10% of the remaining 20 is gay That leaves you a 10% chance of ever...
0 Reactions
4 Replies
822 Views
hodi ndani ya kambi kubwa ya waungwana! mi ni msima kazi ya ngu ni kama jina yangu asanteni!
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naingia kama vile nilikuwepo tangu na tangu, kama vile naifaham kuliko wengi wa hao walioitambua mapema zaidi....:msela:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ndugu wanajamii forum, niliingia mwaka jana, kipindi kampeni za uchaguzi zinaanza , nilihamasika na nilikua bega kwa bega na hili jukwaa letu muda mwingine usiku kucha. sasa nimerudi baada ya...
0 Reactions
4 Replies
954 Views
Nimekuja hapa kuchangia masuala ya muhimu tu, na kuwaumbua wanaoposti upupu na mambo yasiyo na tija. Kazi moja tu- kukata issues Tuko pamoja ndugu zangu Asante,
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nimekua mfuatiliaji na msomaji wa siku nyingi wa hii forum,mijadala na shauri nyingi zinajenga na kuburudisha sana,...na sasa ninaomba kibari nijiunge na mnipokee ili nami niwe...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Ndugu zanguni nimeutambua mchango weeeenu siku nyingi sana,nipokeeeni tusaidiane kwa aya machache nyumbani kwenu... Mimi ni ndugu yenu mpendwa, ..........Rafiki wa karibu ..........kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
This is new kid on da block.you are now on a swell company guys i envy u.THIS IS ELUNGATA.
0 Reactions
4 Replies
763 Views
:msela:Nabisha hodi jamvini waungwana nipokeeni tujadili ,kufikiri na hata kutafuta ufumbuzi wa yanalolikabili taifa letu na jamii yetu kwa ujumla. Nipokeeni nimekuja.
0 Reactions
4 Replies
890 Views
Mie ni mwanaharakati mwenzenu, jina langu ni Tumaini edson, kwa kuwa ilm niliyokuwa nayo ni ile ya kiwango walichoridhia ccm, makosa yalikuwa mengi wkt wa mchakato wa kujisajili Jf, nawaombeni...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Salamu sana wanaJF nimependezwa sana na mada zinazojadiliwa na wanaJF Hii kweli ni Home of great thinkers, naomba kuingia niwe mmoja ya magreat thinkers, Salamu kwa wote.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
hodi hodi naingia,nyumbani kwa wakuu,ombi langu kwa wakuu,naomba kukaribishwa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Hi all! Mm si mgeni sana wala si mwenyeji sana hapa. Si mgeni kwasababu nimechelewa sana kujiunga kutokana na sababu kadhaa. Si mwenyeji kwasababu sikujua kama kuna majukwaa ambayo wanayaona...
0 Reactions
3 Replies
953 Views
Ledizi and jentlomeni! habari za muda huu....!! Naombeni nikaribishwe hapa sebuleni na ikiwezekana nikaribishwe hadi chumbani.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom