Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hi
Habari ya JF
0 Reactions
4 Replies
749 Views
Mimi naitwa Larema. Tafadhali naomba mnipokee mimi ni mwenzenu.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mimi naitwa Mayu Ngoma, mpenda maendeleo na zaidi nina uchungu kwa wanyonge ambao serikali ya kikwete na wenzake imesahau sana. Just introducing myself to you all as i just subscribed to...
0 Reactions
3 Replies
716 Views
Naomba mnipokee wana jf.tuko pamoja
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Nundu warns bus owners By Dominic Nkolimwa 17th January 2011 Email Print Comments Says they are victimising passengers to protect touts Transport minister Omari Nundu leaves Ubungo Bus...
0 Reactions
0 Replies
919 Views
Hello
0 Reactions
4 Replies
887 Views
mimi ni mgeni lakini mwenyeji ktk jukwaa hili.kwanza nilikuwa mfuatiliaji wa nje sasa naomba mnikaribishe ndani.membaz wooote mnikumbuke ktk ufalme wenu.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuja rasmi kujadili mada mbalimbali kwenye JF. Tafadhali nipokeeni:coffee:
0 Reactions
1 Replies
695 Views
WANAJF tuko pamoja sana kwenye forum hii ya kijanja nimekuwa nikiitembelea mara kwa mara sasa nimeona nijitupe uwanjani rasmi.Naomba ushirikiano wenu wakongwe pamoja na wachanga wenzangu.PAMOJA SANA
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Nina kila sababu ya kutanguliza salaam zangu za heshima kwa wanajamii wote,kwa muda nimekuwa nikifuatilia thread mbalimbali humu JF kabla ya kujiregister rasmi.Kutokana na msisimko niliokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani kabla sijawaomba wahusika wanibadilishie jina, naomba mwemye jina zuri ani pendekezee hapa. Tabutupu naona si jina zuri. Hata la kienyeji ili mradi unipe maana yake. Asanteni.
0 Reactions
82 Replies
7K Views
Compliments of the new season! Waungwana bila shaka mmeuanza mwaka mpya 2011 kwa matumaini. Naomba kuungana nanyi katika kulisukuma hili gurudumu la jamii. Asanteni:A S thumbs_up:
0 Reactions
1 Replies
816 Views
Naomba karibu yenu wadau.
0 Reactions
1 Replies
656 Views
Hodini wana JF; kiukweli nawakubali wana JF Great Thinkers. ndo maana napiga hodi kuingia humu ndani ili uwepo wangu muutambue. Nikaribisheni na heri ya mwaka mpya wote.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Yes members!! I am the only I am and you are yourself in the self. Only the truth will make you yourself. Tuseme ukweli maana ni kwa huo tu ambao hata maadui wengi huunganishwa, regardless time...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello boyz&galz,ladiez&gentz,mumiez&dadiez asalaam aleykum.me ni mwanaharakati,naomba kutambulika jamvini!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
hi everyone, am new in this forum.. i believe the best people are in here. am hoping to learn and have a good time too. so let it begin...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Nimekuwa msomaji wa jamvi hili kwa muda sasa. Nimevutiwa nalo.Linastahiki sifa nyingi, lakini kwa leo itoshe kupiga hodi nikiwa mwanachama mpya, ili nipate kukaa kwenye baraza. WanaJF kazi nzuri...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Natanguliza heshima kwa wanajamii wote. Mtaokarimu ujio wangu kwa neno la karibu kwa niaba ya mlionitangulia humu, ukarimu wenu ni tafsiri tosha kwamba wanajamii wanafurahi kupokea changamoto mpya.
0 Reactions
2 Replies
851 Views
wanajamii forum, i salute you! mimi ni mgeni JF, nipokeeni plz! looking forward to this... :cheer2::cheer2::cheer2::cheer2: but i just cant decide which topic to put up first!!! so, ngoja tu...
0 Reactions
3 Replies
893 Views
Back
Top Bottom