Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
najisikia furaha kujiunga pamoja na jumuiya hii kubwa,naombeni mnikaribishe!!!!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana jf, naja jinsi nilivyo. Mimi si malaika kwamba nisikosee, wala si taahira nisiweze kuchangia. Naomba nirekebishwe na kukosolewa pale ninapokosea. Naomba nipongezwe pale ninapofanya vizuri...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
wana JF mimi ni Likasu nawaomba mnipokee kwa mikono miwili hapa jamvini.
0 Reactions
1 Replies
724 Views
Naamini nimeiva kiasi cha kutosha kuchangia jamvini. Naamini kwa namna moja au nyingine nitashiriki kuijenga nchi yetu niipendayo.WanaJF naomba ushirikiano wenu.
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Shikamooni wazee,vijana na watoto,wake kwa waume mliopo jamvini...
0 Reactions
7 Replies
907 Views
:welcome:yah inakuwa ngumu kwa mara ya kwanza kama mtu unakuwa mpya ktk blog but through msaada naweza kushiriki mambo mengi nanyi kupiutia kwa blog hii wakubwa yah am a student of 2nd year at...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naitwa MBRITISH a.k.a gwiji wa midahalo na mkali wa kujibu maswali ya ghafla .Naomba ushirikiano wenu ktk kuelimishana na si kulumbana! AHSANTENI
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi, Jf members. It's the first time be be with you here. I hope am welcomed.
0 Reactions
6 Replies
616 Views
Hi, My name is Athumani Kassimu.Mining engineer currently working as a Blasting engineer at Buzwagi mine. So glad to join this forum kama vp nipokeeni
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Kimwana una macho ya huruma Unaponiangalia mimi moyo umechechemea Nikuonapo njiani Mate n‟nakumezea Najiinamia chini kusema sijazoea Mimi niwe na furaha Moyo wangu unapenda Sina haja ya...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hi great thinkers! I am proud to be part of your team.
0 Reactions
4 Replies
734 Views
Naanziliza Karima, alo mwema asilani, Rabbi mwingi wa huruma, msifika Rahmani, Illah Mola Karima, Mola uso na kifani, Hodi wana Jamii, hoja nilete jamvini. Hodi Invisible hodi, nipange japo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Hellow Habari zenu wanajf, wajomba na mashangazi zangu naomba mnipokee ndugu angalau na mimi niweze kushiriki katika hili jukwaa na watu wanaoweza kudadavua mambo kwa ufasaha a.k.a Great Thinkers...
0 Reactions
2 Replies
933 Views
Hello everyone. Nina furaha kubwa kujumuika nanyi katika mjengo huu (JF) - kisima cha elimu. Natumaini mtanipokea na kunipa ushirikiano wa kutosha ili kwa pamoja tuijenge nchi yetu. Kwa mara...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maaskofu wanapotoa maoni kwanini tusiyachukulie kwamba ni maoni ya watanzania wenzetu? Kwanini tukimbilie udini wakati hoja ya msingi ipo mezani?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hi Jamii! Nawasalimu waelevu wote mliomo humu,ndo nmefika mgen naomba kukaribishwa.!
0 Reactions
6 Replies
939 Views
Naomba mnipokee wana jf wenzangu,napenda tuwe tunasaidiana wa kupeana taarifa zenye ukweli ,sina itakadi ya dini japo ni mkirsto,sina chama.
0 Reactions
1 Replies
967 Views
hi everybody nawasalimu woote na kuwaomba ushirikiano wenu ndani ya JF..ahsanteni sana.
0 Reactions
3 Replies
706 Views
Walio wake watampokea bali wasio wake watamkimbia!!!!
0 Reactions
1 Replies
787 Views
habarini za wakati huu,,nina furaha sana kuungana nanyi ndugu zangu katika JF,ni tumaini langu kuwa tutashirikiana kwa kila namna.. ahsanten.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Back
Top Bottom