Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Hellow Kataa kubali wanaume wengi wanapenda taarabu sema kwasababu tu ya jamii ilivyo mjengea mwanaume kuishi ndiyo ina mpa shida kushow love kwenye mziki huu. Na hili nimeliona kwenye sauti za...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Here they talk let ’em talk girl Now what they talk Here they talk let ’em talk girl Now what they talk Here they talk let ’em talk girl Now what they talk Here they talk let ’em talk girl Ah haa...
0 Reactions
1 Replies
428 Views
Oh yeah tmk feel this song Chege Wowo woooh woooooo Wowo woooh woooooo When I close my eyes picture yako inajirudiya ah Tena Nasita kusahau kwa matusi ulio nimwagiya ah Yaya Tena mbele za...
1 Reactions
1 Replies
642 Views
Verse 1 Mara ya mwisho mimi na wewe Kuonana kipindi kile twasoma Shule ya msingi kigoma. Najua ulinipenda Ila hukutaka penzi kulilinda. Ungesema mapema Iliniuma sana. Mimi leo niko Dar...
0 Reactions
2 Replies
449 Views
Mwaka huu kuna muvi kali zimetoka ila watu wanashindwa kuziangalia kutokana na kushindwa kuziaccess kwenye internet au kwa kutozijua Leo naleta muvi chache tu na kama una zako nawe tupia hapo...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Naomba kufahamu wimbo unaohit kwa sasa wa Chibu Dangote. Sababu za kuuliza swali langu ni huu mfululizo anaoufanya kuachia nyimbo kama fungu la.mchicha. Itakuwa vyema kuwa na chati ya TopHit kwa...
1 Reactions
6 Replies
631 Views
Saa saba juu ya alama saa nikiitazama Nimeshaachana na Jacki sasa namfata Salama Saa kumi na mbili n'na appointment mademu wawili Achana na Lily ambae tutakutana saa mbili Jenny wa Mikocheni ambae...
13 Reactions
26 Replies
995 Views
MICHIRIZI YA DAMU 01- Nyemo Chilongani GIZA, Misri Zilisikika kelele kutoka ndani ya piramidi moja lililokuwa katika Mji wa Giza uliokuwa nchini Misri. Watu waliokuwa humo ambao asilimia kubwa...
25 Reactions
3K Replies
223K Views
HABARI WANA JF. SEHEMU YA 1 MWANZO BAADA YA MWISHO .... Watu walikuwa wakifa, wengine wakikimbia, wengine wakijikuta kuna miguu mikubwa kama ile ya vunjachungu(parying mantis) ikitenganisha...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu hii shoo ya badgirl Riri ni noma kwanza mipangilio imepangika mavazi, madensa sound, lights. Yaan ni noma shoo imetulia ina ladha huumii masikio na wala huchoki tazama. Wasanii badilikeni...
1 Reactions
5 Replies
487 Views
Justin Kalikawe, ni moja ya waasisi wa muziki wa reggae ya Kiswahili. Na moja ya wasanii wa muziki wa Kiswahili waliosumbua sana mwanzoni mwa miaka ya 1990. Justin Kalikawe, alitamba zaidi na...
22 Reactions
132 Replies
42K Views
Wanabodi, Mimi ni miongoni mwa wanabodi ambao hupenda kupongeza pale panapo stahili pongezi as "encouragement" ili kuendeleza mazuri, na hukosoa pale panapo stahili critique kama mambo hayaendi...
4 Reactions
64 Replies
7K Views
Oiii wadau, sijui ni mimi tu ila sikuhizi napigiwa sana simu na watoa huduma wa makampuni mbalimbali hasa haya ya kubettisha na kiukweli huwa mara nyingi nawamind kwasabab nakua niko busy na...
4 Reactions
3 Replies
870 Views
0 Reactions
20 Replies
952 Views
Wakuu ngoma gani kali Kati ya hizi Kanisa by Dizasta Amen by Racha
2 Reactions
3 Replies
434 Views
Angalizo: Kabla ya kuanza nitoe angalizo na maoni kidogo. Ila pia nianze kwa kuomba samahani kukatisha riwaya iliyopita kwa wale ambao mlikuwa mnaifuatilia uwanja wa mauaji. Sababu ni nyingi na...
2 Reactions
90 Replies
15K Views
Simulizi: NGUVU YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Mdada mmoja mrembo sana aliyeitwa Angel alionekana siku hii akiwapeleka wadogo zake kuripoti...
6 Reactions
486 Replies
265K Views
Sehemu ya kwanza Kwa Mary Robert.2010 Nayajua mengi kwakuwa nimempa kila mtu nafasi ya kuwa mwalimu wangu,,kila mtu hunifunza kwa yale atakayo,,naheshimu kauli na mawazo ya wote kwa uzito sawa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Ilikua Siku kama ya leo mwaka 2019 pale familia,wadau,na wapenzi wa muziki wa hip-hop tulikumbwa na majonzi kufuatia taarifa ya kifo Cha msanii kingzilla (king of freestyle bongo.) Godzilla...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimekuwa Muhudhuriaji wa Night clubs mbalimbali hapa kwenye jiji la makala Na Jiji moja kule kaskazini mwa Tanzania. Imeibuka Tabia ya Madj wetu wanaoburudisha mioyo yetu kupiga nyimbo za Dini...
6 Reactions
24 Replies
2K Views
Back
Top Bottom