Baadhi ya wadau walisifia Sana serial ya money heist nikaona isiwe taabu Acha niitafute nione kama hiyo ladha yake itafanana na prison break na 24 lakini cha ajabu humo ndani ilijaa ujinga mwingi...
Kati kila fani kuna wenyewe sikuhizi simulizi, au story za kusimulia kwa mfumo wa sauti zimekua maarufu sana hususan huko YouTube
Kati ya Jamal April wa the story book, Ananias Edgar huyu...
CLICKBAIT
Series nyingine ya kiume hii hapa. Humu kuna jamaa anaitwa Brewer, siku ya birthday ya mama yake, kukatokea kaugomvi kadogo tu na mdogo ake, Pia, so dogo akasepa.
Kesho imefika, watu...
Kisa hiki kinapatikana kwenye kitabu Unyonge wa Mwafrika.
Chai ya Kandambili
Wakati mmoja nilipata kuwa Karani Mkuu wa Boma, wenyewe humwita Chief Clerk. Chief Clerk enzi za mkoloni mtu mkubwa...
Habari
Sasa hivi katika android na iOS wanatuletea games zenye graphic kali kama kwenye PC vile haya hapa chini ni majina ya games kali za kwenye simu za android na iOS
Number one ni truckers of...
Hello bosses,
Kwanza niwe mkweli tu, napenda sana movie za martial arts na ujasusi. Hii Drama ya Princess Agents ni tofauti kabisa na drama za kichina zilizokuwa zimezoeleka. Baada ya kuangalia...
Achana na 2PAC pamoja Na B.I.G
Mwana Hip Hop gani anaweza kushindana na EMINEM. Kwenye mauzo,charts, n.k
Rapa gani anaweza kubattle na Eminem.....
#forgive Me
.
Soma kisa hiki Cha (Bint wa mfalme)
Mfalme alitangaza kuwa anahitaji kijana ambae atamuoa binti yake, mfalme alikuwa akihishi uko milimani kwahiyo vijana walipewa taarifa kuwa Mfalme anamuoza...
Yeah unaweza sema the dangerous killer Mr keanu Reaves a.k.a John wick himself is back.
Waandaaji wa filamu hii na duru za uhakika wameweka wazi kuwa baada ya kimya Cha muda mrefu, basi filamu...
Muziki ni njia nzuri ya kuweka akili yako imara na kukusaidia kujisikia vizuri. Wataalam wa tiba ya saikolojia wanathibitisha kuwa muziki ni tiba bora kwa magonjwa ya akili kama vile wasiwasi...
Naam
Naam yeye ni zawadi ya kimwambao, binti wa pwani. Sijui nimuite malaika wa kibantu, kihabeishia au kiajemi sielewi nimuweke kundi lipi hata
Unaweza kuuona uzuri wa wake pia kwa kuitazama...
Kiernan Jarryd Forbes, ‘AKA’ alizaliwa Cape Town nchini Afrika Kusini Januari 28, 1988 na alijiingiza katika anga ya muziki mwaka 2002 alipoanzisha kundi la Hip-Hop lililoitwa Entity pamoja na...
Mama hey hey hey
Say hey
Nakupenda maa
Basi njoo maa
Mi kila saa kabisa kwako kichaa
Girl just listen, tuishi kwama Eden
Nakuweka kwenye top 10
Nadata na reception
Mi nachoka hoi, pande zote...
Niite Lyrics
Niite basi mpenzi uwe wangu
Nikakutambulishe kwa ndugu zangu
Shida zote ulizo nazo ni za kwangu
Njoo home, njoo home
Niite basi mpenzi uwe wangu
Nikakutambulishe kwa ndugu zangu...
Msanii Nyota kutoka Nigeria, Burna Boy ameonesha hisia zake baada ya kifo cha msanii AKA ambaye aliuawa kwa kupigwa Risasi siku ya Birthday yake February 10, 2023 jiji Durban wakati akitoka...
Baada ya kuachia tribulation ngoma ya kumdiss rapcha naona ata ngoma zake zimeanza kupepea hewani hata wasomjua dizasta wamemjua Sasa.
Hila jamaa flow yake haibadiliki ana usanii ule wa kizamani...
CHAPTER 1
South Tanganyika, Early 1899
An early morning, I think it was probably way too early than usual for me since the sun was barely out and shining through the thick tree that surrounded...
Mcheza bongo Mac Muga
Yuko single sana Mac Muga
Ukimwona mtu akijinamia kwa sababu ya maisha yamchanganya
Chali wangu alizamia
Kuenda kusini mwa Africa
Huku pia akimchanua kwa sababu ya maisha...
Baby usilie
Mi najua wazo lako
Ni kuwa na mimi leo mpaka kufa (baby Candy usilie)
Nenda shule kwanza
Halafu mambo ya love ndo baadae yatafuata
Usione nadharau
Hata mimi nakungoja baby Candy
Wala...
Oooh siamini
Kama tuko wote
Kama tuko wote
Mimi na wewe
Oooh siamini
Kama tuko wote
Kama tuko wote
Mimi na wewe
Wajua pendo letu lilipotoka
Si mbali sana mpenzi siwezi me sema
Milima na mabonde...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.