Hii movie ni kali sana ukiiangalia kwa makini.
Inaanzia wachungaji wawili mume na mke wanahubiri mtaani wakitembea, halafu kuna mabinti watatu kama sijakosea wanaanza kuwacheka wale wachungaji...
Moses Nakintije Ssekibogo, maarufu kama Mowzey Radio, alikuwa Mwanamuziki wa Kundi la GoodlyfeCrew, pamoja na Weasel Manizo, waliotamba na nyimbo nyingi ikiwemo Breadandbutter
Mowzey Radio...
Jamaani enzi zile watu naona tuliinjoy Sana ukilinganisha na mziki wa kizazi kipya. Mfano Leo nilikuwa nimekaa sehemu nakuta DJ ameweka mziki wa bendi ya Sasa Kamanyola wakiwa na Maestro King...
Kama wewe ni shabiki wa Filamu za Bad Boys, jiandae kwa ujio mwingine wa #BBIV. Jarida la #Variety limeripoti ujio wa Filamu hiyo na tayari iko katika utayarishaji wa awali kupitia kampuni ya Sony...
Licha ya Wadau wa Burudani kufurahia #Beyoncé kurejea jukwaani baada Miaka 5, baadhi wameoneshwa kutofurahishwa na Nyota huyo kutumbuiza katika Nchi yenye Sheria kali dhidi ya Wapenzi ya Jinsia...
Taasisi ya CINT inayofanya kazi ya Utetezi, Uzengezi na Uwezeshaji, Kuwaunganisha Wasanii na Taasisi zao na Kuzungumza kwa niaba ya Sekta ya Ubunifu Tanzania katika maeneo ya Sera, Fedha, Sheria...
Hawa ni The best Niger female Actress.
Kwa wale wapenzi wa movie za Nigeria mtakuwa mnawafahamu Kwa uzuri Hawa Wadada.[emoji276][emoji276]
Mshana Jr DeepPond
This Pdf concerns the book of Proficies written by Frenchman author Nostradamus in the year of 1500's.To share his experience of what will happen in the future up to year 3200.
lala, amka kumbuka kuwa lengo kuu la mwaka ni kutafuta pesa ili wanao wasije kupitia mateso, misukosuko na majuto uliyopitia... swali ni kwamba unazipataje hizo hela? hasa kwa wale wasomi ambao...
Filamu ni ya kizungu (western).
nadhani inaweza kuwa ni horror.
plot yake ipo hivi. Ndani ya familia ya kitajiri lakini utajiri wake unaoonekana ni kwa njia ya kishirikina. Kulikuwa na kijana...
UTANGULIZI
Kifo kina wivu sana, hutuondolea wale tunaowapenda. Hutuacha na majonzi na kumbukumbu za kuumiza, lakini pia hutubakizia jeraha kubwa ambalo hata likipona basi hutuachia alama ya kovu...
NILIAHIDI NATEKELEZA.
Tunaanzia mbali kidogo kujenga msingi....
Katikati ya umri wa kuhitaji malezi bora yanayohusisha wazazi wote wawili, baba na mama yake wanafarakana kiasi cha kufikia...
Naweza Kusema Kwa Umbali Mkubwa Sana Hii Ni The Best Videogame Ambayo Imewahi Kupelekwa Live-Action Na Kuwa TV-Series Kwenye Kiwango Bora
Leo Tunaanza Na Episode Ya Kwanza Ijulikanayo Kama "When...
Hapo zamani, kulikuwa na mwanamke anayeitwa Sara. Aliishi katika kijiji kidogo ambapo kila mtu alimjua mwenzake.
Sarah alikuwa na ndoto ya kuwa mama, lakini hakuwahi kupata mtu sahihi wa...
Nimejikuta naangalia kwa bahati mbaya hiki kipindi, for sure judges ni wehu. Wanalazimisha presenters wanaokuja jaribu vipaji vya utangazaji wa magazeti lazima wapayuke kama Zembwela au Maulidi...
Me nazokubali kutoka kwenye album zake na kuzisikia kila mara.
1. UFUNUO WA UNJU BIN UNUKI
~ Natoka tanzania
~ Excuse me miss
~ Where my crown are
ALLHAMDULLAH
~ Hands down low
~ Tulia na mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.