Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
 Wadau habari zenu Nawakaribisha kunisapoti kwenye muziki wangu wa bongo FLEVA Instagram napatikana kama @ricky_tz_ YouTube ni Ricky tz Muziki mzuri ni burudani ya maisha
0 Reactions
0 Replies
435 Views
VYUMBA VYA WATU WALIOACHWA NA WALIOOA TENA By: Aston Adam Mbaya in Congo 8 Ndugu, Bwana alipokuja, alinichukua hadi mlimani, na tulipaswa kwenda Kuzimu. Tulisimama juu ya mlima. Nilimuuliza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wanajamii forums, Nilikuwa nahitaji site ambayo naweaa kupatq album za Mr II A.K.A Sugu maana YouTube sipati nyimbo zote. Kwa yeyote mwenye album zake naomba anisaidie. Asante.
0 Reactions
4 Replies
724 Views
Ya saizi kapiga dakika 11 kabisa
6 Reactions
259 Replies
16K Views
Rapa rapcha aliye chini ya mkongwe baba la manyani P Funk aka Majani majuzi aliachia Diss track inayoitwa STORY NYINGINE akiwaponda wasanii wa hip hop kadhaa, mmoja wa wasanii aliyepondwa ni Mkali...
6 Reactions
37 Replies
7K Views
Nataka nijifunze udj, kuitumia mixer na kila kitu kinachohusu u dj. Wapi naweza kujifunza na nipo tayari kulipia? Asanteni
2 Reactions
17 Replies
2K Views
DIZASTA VINA KIBABU NA BINTI.... Aisee ifike mahali tuamini kumbe bado Hip-hop ipo mikono salama.. [emoji16] kiukweli nilishaacha kabisa kusikiliza hip-hop ya vijana wa kizazi hiki coz mistari...
3 Reactions
11 Replies
998 Views
Kuna mipango kabambe inaandaliwa ya kufanya beach party kubwa sana ya kushangilia ushindi dhidi ya Corona Jumapili na kuna tetesi Diamond platnumz akaongoza shamra shamra hizo, hii imekaaje?
5 Reactions
47 Replies
6K Views
HEKAHEKA! Na Bishop Hiluka 0685666964 Dondoo: Wanamwita “Gaidi Mstaarabu” kwa kuwa ni mpole, mcheshi na mstaarabu sana! Mafunzo ya kijajusi aliyoyapata katika nchi za Israel na Libya yamemfanya...
21 Reactions
188 Replies
37K Views
Habari zenu wakuu! Naomba nisiwachoshe wanaJF.... Shida yangu nilikua ninaomba msaada wa kupata nyimbo kali za kuparty (kubang) ziwe za Bongo Flavour,Amapiano,mamtoni,afro-beats n.k Yaani ziwe...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Mawazo yamenijia leo aliokuwa mzee wangu akisema dunia ni msongamano wa watu wenye akili tofauti. Ukitaka kuishi vema fikiri kabla ya kujibu jifunze kwa walimwengu walimwengu wajifunze kwako...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Ninaandika nikiwa na masikitiko makubwa kuona maumbile ya wanawake yanatumika kwenye mambo ya kijinga. Miaka ya hivi karibuni tasnia ya uchekeshaji (comedy) imezidi kuchanja mbuga na kufanya...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mkurugenzi wa Sera na Mipango Bwana Haji Janabi (kushoto) akiongea na wajumbe wa Kamati ya Maandalizi kutoka Tanzania na Afrika Kusini katika kikao awali kufikia kwa maandalizi ya Tamasha la Msimu...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu nimetazama hii series mwanzo mwisho kupitia simu yangu. Ukiona Hilo jina utasema inahusu wanyama labda, Kwa kweli ni series nzuri Sana inayo husu madawa ya kulevya mitifuano ya kufa mtu...
2 Reactions
42 Replies
2K Views
Wimbo wa Shakira kuhusu mpenzi wake wa zamani Gerard Pique kwa kumdanganya umevunja rekodi ya kutazamwa zaidi kupitia YouTube. Video ya Out of Your League imetazamwa zaidi ya mara milioni 63...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wanajamvi, "Mke na mume wakipigana, wewe shika jembe ukalime": Baada ya kimgogoro kidogo, Sony na marvel wametangaza biashara kati yao inaendelea. Hiyo inamaanisha Spider Man anabaki Marvel...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Gwala kwa wana Jf wote, naamini bado tunaendelea kupambana na maisha. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu. Nyimbo nyingi kutoka Afrika Magharibi zinaandaliwa kwa ubora mkubwa...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Naifikiria miaka mia moja ijayo, au labda mia mbili au mia tatu!! Ni nini itakuwa hatma ya dunia? mbari ya binadamu (human race) itaendelea kutawala? Mpaka kufikia siku ya leo, Tarehe 13 March...
46 Reactions
726 Replies
139K Views
chunga moyo ,,moyo unataka vingi tena utosheki huu moyo kwa tamaa ya moyo kunganga na shilingi....... Tena utosheki huu moyo ikiibidi kupambana vyovyote ili tupate kurumbanarumbana SI vyema...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Unaitwa "Tizita" na ameimba mwanamama anaitwa Aster Aweke. Naupenda sana kwenye melody yake na unanipaisha sana. Sasa usijekuta anazungumzia kilimo au baa la njaa huko kwao nami naweka fantasy...
1 Reactions
10 Replies
470 Views
Back
Top Bottom