Zimebaki siku 30 tu hadi kufikia siku ambayo muendelezo wa filamu ya Black Panther kuanza kuonyeshwa kwa mara ya kwanza. Kama alivyopata kusema Baba wa Taifa hili Mwalimu Julius Kambarage Nyerere...
Wanasema Rama Dee,Ben Pol ni wakali sana Wa mziki wa R&B.
Ni ipi tofauti ya mziki wa R&B na Bongo Flava.
RnB inakuwa vipi? Beats,lyrics zimekaaje? Upi utofauti wake na muziki mwingine wa...
Ni wakati wa kupeana kumbukumbu za furaha na faraja za nyimbo nzuri za Noeli sambamba na waimbaji wake
Itapendeza pia kuweka na mashairi ya nyimbo & picha zao ili iwe rejea kwa wengineo
Mimi...
Naombeni msaada wa kuwekewa movie latest kwenye external yangu ya ukubwa wa gb 500,kama kuna mtu anaweza kufanya hio kazi anicheki kwa namba hii 0716647360 bei tutaelewana.
Habari,
Kwa wale wapenzi wa mangumi ya video kama mimi nadhani tunajua moto wa waigizaji wa action movies hasa wale wa ngumi kavu kavu.
Hebu ona hii orodha;
Jet Li
Garry Daniels
Sunil Shetty...
Marioo The Kid You Know Album Review: Mchanganyiko Wa Kolabo Za Bongofleva, Afrobeat Na Amapiano Za Wakali Wa Africa
Siku kumi na moja baada ya kuitambulisha artwork yake sambamba na tracklist...
Honestly, mechi ilkuwa wazi kwa brazili kushinda, na huenda kabla ya final whistle ya first half kupigwa Brazil huenda ingekuwa inaoongoza goli si chini ya tatu....
Nini kimetokea kwa matokeo...
Hii Mr Morale and the Big steppers
Imekuwa No morale with a big step down.
Tulikaa tukisubiria kazi kwa miaka mi5 lakini amekuja na album mid.
Haina replay value, ngoma ambazo kidogo ni atleast...
xmass song 2013
wale ambao hamkubaahatika mwaka jana kusikiliza nyimbo hizi za xmass basi ni wakati mwingine tena
wa kuweza uzidownload na kusikiliza katika kipindi hiki cha xmass
Twelve Days of Christmas with Lyrics Christmas Carol & Song Children Love to Sing
We Wish You a Merry Christmas with Lyrics Christmas Carol & Song Kids Love to Sing
Walking In A Winter...
Habari wana jamvi
Ifikapo tarehe 25 ya mwezi huu wa Dec sehemu nyingi Duniani tutakua tunasheherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa YESU kristo kwa wale wa madhehebu ya kikiristo.
Siku hii hujulikana...
Niko na JBL nasikiliza hizi nyimbo mbili ya kwanza ni dknob elimu mitaani aliitoa mwaka 2003 na hardman tamala ya mwaka 2004, hata baada ya miaka 100 hizi beat haziwez chuja, nyimbo hizi mbili...
SIRI YA MAISHA NA KIFO CHA MELANIE CHUMA
( SIMULIZI YA KIJASUSI
EP 01
ARUSHA
Kikao cha wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki kilichofanyika katika makao makuu ya Jumuiya hiyo yaliyopo...
Album ya YOUNG KILLER MSODOKI (SUPER NYOTA ALBUM)
Kwa maoni yangu ndio album Bora ya mwaka.
Ngoma zote 15 za msukuma zimesimama Ngoma kama chukua time usikilize kama wewe ni mpenzi wa Hip hop...
Hizi Ndizo Albums Pamoja Na EP's Zilizo Sikilizwa Zaidi Katika Mtandao Wa Kusikilizia Muziki Wa Spotify
1. Diamond Platnumz – A Boy From Tandale (2018) 30M
2. Rayvanny – The Sound From Africa...
"We are Gay and Proud of it" - SAUTI SOL.
We dont do it for the money, we do it for the butt! said one of the Sauti Sol band members.
Sauti Sol is a renowned music band in Kenya that rose to...
SEHEMU YA KWANZA
Hapokale paliondokea mtu namkewe waliokua na ng'ombe jike ambae walimpenda sana. Wakamtafutia #FAHARI mzuri ili baadae ng'ombe wao awe #MBUGUMA. Basi mke akamwambia mumewe...
Kinachoendele kati ya taasisi kubwa/ matajiri "business people" na rapa kanye west kinatafakarisha sana. Kwanza kabisa hivi leo mashabiki wameanzisha kampeni ya kumchangia pesa ili awe bilionea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.