Wakuu samahani kidogo na poleni na majukumu,
Hivi hii ngoma ya Wakali kwanza, inaitwa NATAMANI, ndani kuna Makamua, Qj na Joselin.
Ni nyimbo ambayo ilitoka mwaka gani? Na kuna tuzo ilichukua...
STORY: JINI ZUNAIDA
MTUNZI: HAFIDHU MWINYIMKUU
CONTACT: 0719013038
WHATSAPP: 0719013038
MAHALI: DARES SALAAM
SEHEMU YA KWANZA
Story yetu inaanza katika falme ya majini iliyofahamika kwa jina la...
Habari wakuu
Nimebahatika kuangalia series za kikorea zifuatazo; Athena, Iris, City hunter, Jumong, The land of wind, Emperor of the sea, The Chaser, The painter. Kama kuna mtu anafahamu series...
Rais huyo Mstaafu amefanikiwa kunyakua tuzo hiyo kupitia filamu ya 'Our Great National Parks', Makala inayohusu hifadhi za Taifa iliyotolewa na Emmy, filamu hiyo inaoneshwa na Netflix.
Obama...
Rapa Kanye West amefichua jinsi uraibu wake wa ponografia ulivyoharibu familia yake. Bilionea huyo amethibitsha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram
Chapisho hilo linasemekana kumrejelea mama...
Beyoncé, ambaye alizaliwa mnamo Septemba 4, 1981, alipata umaarufu akiwa member wa Destiny's Child (hapo awali kilijulikana kama Girl's Tyme), moja ya bendi kubwa zaidi za wasichana katika...
Kuna video hii nimekutana nao sehemu kuhusu ya Wenge Musica Tout Terrain 4 x 4. Vijana wenye watanashati na Mitindo ya kisasa (Bon Chic Bon Genre). Video hii inaongea mengi sana. Jinsi gani watu...
Poleni kwa majukumu wakuu wangu, ninahitaji msaada wa kuunganishwa na wasanii wa aina zote.
Lengo kuu ni kujaribu kuona kama tunaweza kufanya kazi pamoja. Mimi ni kijana ninayepambana na maisha...
Jarida la Forbes limetoa orodha ya wasanii 20 bora kutoka bara la Afrika.
Kwa mujibu wa jarida hilo, wasanii wa Afrika Magharibi na Kusini mwa Afrika wanaongoza katika orodha ya wasanii wakubwa...
T.B.T
1.Ngwair ft Jay Mo--Kimafia.
2.Speed 120 ft Chid Benz
3.Cnn ft Fid Q
4.Mapenzi Gani ft Lady Jaydee
5.Mida mibovu ft J.nature,Jay Mo,Ferooz.
6.Wa Kitaa ft Babu wa kitaa
7.Bila...
Baada ya kutengeneza list ya nyimbo 10 bora za muziki wa kizazi kipya leo tujadili album 10 bora katika historia ya muziki wa kizazi kipya, list hii haitaangalia nyimbo moja tu ya kwenye album...
habari wadau wote wenye changamoto za kimaisha..
Vijana wengi kitaani tunapitia hali ngumu.. hii imenifanya niimbe wimbo wa kutuliwaza nimelimiss Bumu..
naombeni maoni yenu wapi nimekosea na...
"Bad thing we are sleep"
And
"Good thing we can wake up"
and change the whole system.
We are not doing anything while our whole life is full of inequalities everywhere within our country as...
Season 1 The Football
Mtunzi.Patrick Ck
Sehemu 1
Msafara wa rais wa
jamhuri ya muungano wa
Tanzania,uliwasili katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa
Julius Nyerere jijini Dar es
salaam.Dr...
SEHEMU YA 01
Nilikuwa kwenye usingizi mzito mno ambapo nikaamshwa na sauti ya mwanaume aliyekuwa anagonga dirisha langu na kuniita.
"Ederra! Ederra!"
Bado sikujua alikuwa nani. Alijaribu kuita...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi Annunaki naomba mtu yeyote ambaye anajua ninawezaje kupata hii movie ikiwa HD anielekeze niweze kuipata haraka iwezekanavyo.
Tafadhali naomba ukiwa kama mwana Wenge BCBG yake JB Mpiana uniambie ni kwanini Nyimbo hizi Nne zifuatazo haziishi Utamu na wala hazichuji miaka nenda rudi?
1. Champion Kapangala ( Sebene )
2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.