Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Habari wana JF Kuna nyimbo fulani nimesahau jina na mwanamziki pia. Ni ya zamani ila sio sana nakumbuka baadhi ya maneno, nitayaandika hapa chini Maneno nitakayoandika ameimba mwanaume (mbaba...
1 Reactions
8 Replies
641 Views
Nilikua siikubali Peaky blinders...Ila nkaicheck imetisha Sana ...anyways nshamaliza seasons 5 ...nasaka ya 6. Toa maoni yako.[emoji41][emoji41]
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Mimi naitwa Telo nilizaliwa huko Kigoma, Kasulu maeneo ya kumsenga miaka 60 iliopita. Elimu yangu ni ya darasa la nne, ijapokuwa kiuhalisia elimu ilinipiga sandakalawe. Maisha huko Kasulu...
11 Reactions
62 Replies
6K Views
Kawimbo katamu kana ujumbe mzuriiiii nimekaelewa.
0 Reactions
3 Replies
528 Views
Karibu kwenye uzi huu maalumu kabisa. Hapa utapata fursa ya kujifunza vitu mbalimbali vitakavyo kusaidia kukua kiufahamu: kiroho, kiakili, kiuchumi, kimahusiano nk. Ili uwe mtu wa mguso na matokeo...
0 Reactions
0 Replies
357 Views
kitabu hiki kiliandikwa mwaka 1907 na JH Patterson kikiitwa The man-eaters of Tsavo. kilitafsiriwa kwa kiswahili miaka ya 1960's kikiitwa Simba wa Tsavo. Unaweza kukisoma bure ndani ya Maktaba...
8 Reactions
32 Replies
6K Views
Kwa wale wenzangu na mimi wanaopenda mziki wenye vionjo vya mziki wa old school ila umetengenezwa kisasa Kwa huyu msanii ndo mahala pake ana nyimbo zaidi ya 200. Ila wa kwangu bora wa muda wowote...
0 Reactions
0 Replies
313 Views
Heshima kwenu wakuu. Aisee nimejaribu kuitafuta sana hii movie, naipata lakini nashangaa nikii-download inagoma kabisa, sasa kwa mwenye direct link ambayo nitaweza kui-download kwa urahisi naomba...
0 Reactions
3 Replies
950 Views
MISS TANZANIA SEHEMU YA KWANZA MTUNZI: PATRICK .C.K ========== Haki zote zimehifadhiwa hairuhusiwi kunakili, kuchapa maandiko ya kitabu hiki bila idhini ya wahusika wakuu. “Patrick amka...
6 Reactions
178 Replies
63K Views
Bila upevu wa fikra kung’amua hii homa ni ndoto Madaktari, waganga wote chamtoto Bado wanaitafuta pimajoto, kwani dunia ina homa kali mithili ya moto Wanasayansi wamelala maabara, Wanaitafuta tiba...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama ningekuwa Rais, nchi ingekuwa katika hali bora zaidi. Una uhakika? Thibitisha! Mchezo wa "Simulator ya Rais" hukuruhusu kutawala mojawapo ya nchi 163 za kisasa. Siasa, vyombo vya habari...
2 Reactions
5 Replies
795 Views
Lyrics Master ameshindwa kuthibitisha umasta wake kwenye lyrics. Juzi kati nilimpa mtihani kama usahili akasema atarudi na mistari. Leo wiki ya pili amekimbia Jukwaani. Nilijua nitamnasa tu...
3 Reactions
2 Replies
1K Views
Majaji wa vitasa mnaonyesha upendeleo kabisa kwa wanyumbani wangeni kesho watagoma kuja kushiliki fanyeni haki katika huu mchezo
1 Reactions
3 Replies
457 Views
Kuna wachekeshaji wengi wanaibuka na wanaendelea kuibuka...lakini kuna wale ambao dunia inawatambua...kuwa hawa ndio wachekeshaji waliofanya comedy/funny iwe hivi ilivyo leo...je ukiambiwa utaje...
3 Reactions
32 Replies
3K Views
Natafuta Nani kaiimba haya mashairi ni nyimbo ya bongo Flava ya zamani Najua unapenda sauti yangu Najua unapenda mashairi yangu Ila mbona unaponda kuhusu kipaji changu Namtafuta
0 Reactions
2 Replies
910 Views
Kwetu Tanzania tunazo Zilipendwa za akina Les Wanyika na Wengine wengi, lakini hao wote bado ni wa juzi tu Marekan wanayo "Country Music" hii ni ya kitambo zaidi. Ni tamu Ina maadili pia Ina...
13 Reactions
57 Replies
2K Views
Nilikua naangalia Tbc aridhio kuna kijana jina limenitoka kutoka kigoma amenivutia mno kwa vitu anavyovifanya pamoja na mazingira anayoishi ikiwa ni pamoja na nyumba haina umeme lakini ameweza...
5 Reactions
2 Replies
442 Views
Habari yako, mimi ni kijana wa miaka 20s ni mhitimu wa chuo 2020(Bachelor Degree in Tax Management). Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa napokea maoni...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kati ya Kendrick Lamar na J.Cole yupi hatari kwenye Hip Hop? Yupi unamkubali zaidi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom