Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Mahoka, Mazungumzo baada ya habari Kandanda, Matangazo ya vifo Mkulima wa kisasa Zilipendwa Majira Malenga wetu Habanahaba
0 Reactions
3 Replies
869 Views
Huu ndio mziki bora niliusikiliza kwenye utawala wa Kikwete JPM na hata sasa. Muziki unagusa uhalisia wa maisha ya watanzania wengi... Ndo mana nasema ndio mziki Bora wa kipindi chote...
2 Reactions
11 Replies
842 Views
SIMULIZI YA MAISHA: KWANINI MIMI? 01 MWANDISHI : MIKA AUTHOR MSAMBAZAJI: Simulizi za Gilbert MAWASILIANO: +255621249611 Kuna kitu kisichokuwa cha kawaida kilikuwa kwenye maisha yao.Maisha yao...
2 Reactions
53 Replies
12K Views
American Top 40 [January 22, 2022] LW TW Artist-Title Peak So Far Weeks at #1 Weeks On 40 40 Duncan Laurence - Arcade 07 38 38 39 Marshmello/Jonas Brothers - Leave Before You Love Me 08 31 37 38...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Consider and listen to their powerful hits such as Dada Lemi, Rangi ya Chungwa, and their numerous others that praised the beauty of love and an African woman; I am very disappointed to see...
0 Reactions
2 Replies
610 Views
Kuna wimbo nimeusikia umetengenezwa na man walter,niaoh za kichinachina Mswaki wa kichina,mafuta,sabuni,pafyumu,tv,viatu vyote vya kichinachina hujntaoo
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Huu utakuwa ufafanuzi rahisi was kitu ama Muda. Je inawezekana kwenda miaka ya mbele ama kurudi nyuma kwa akina Yesu na Yuda Eskaroti? Sasa hapa utapata ufafanuzi wa time travel. Ipo ama haipo...
2 Reactions
58 Replies
7K Views
Wadau habari za leo, naomba mwenye link au nyimbo za band ya Diamond Sound ' wana ikibinda nkoi' anisaidie either kwa kunitumia whatsapp 0712 000 464, email abrahamashiraf@gmail.com or aweke link...
0 Reactions
52 Replies
25K Views
Miaka ya 2005 mpaka 2013 redio ambayo nilikuwa navutiwa nayo ilikuwa ni Radio Free Africa, nilivutiwa sana na Watangazaji wazuri waliokuwa na weredi mkubwa moja vipindi hivyo Ni pamoja na ASUBUHI...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kikundi hiki kina miaka mingi sana katika sanaa. Mpaka leo mwanaume hajawahi vaa magauni au nguo za ajabu ajabu. Wamekua katika mazingira halisi kabisa na bado kazi zao hazichoshi kutazama...
4 Reactions
4 Replies
848 Views
Habari wakuu Mwenye link ya movie ya salo 120 days of Sodom au kunielekeza wapi kwa kuipata ninaitafta sn anijuze please
0 Reactions
2 Replies
426 Views
Habari za wakati huu wana jamvi!!! Ni siku tulivu kabisa ya mapumziko!! Leo nilikua nasikiliza kibao nnachokipenda zaidi kutoka kwa Mwanamuziki nnayemkubali sana katika Bara hili. Binafsi kibao...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
Ah Nilipanda kwenye jukwaa, watu walinishangaa Unadhifu wa meli haukufanana na nilivyovaa Kabla sijatoa salamu, walipoteza hamu Ya kuburudika wengine wakaanza kusambaa Nilikuwa na nywele nyingi...
8 Reactions
23 Replies
3K Views
Waungwana salama jamani,nilikuwa nawaomba mwenye kuwa na wimbo wa mapenzi kizungumkuti wa msondo ngoma,anisaidie hapa
0 Reactions
2 Replies
5K Views
ISHI HUMO... Focus kwenye jambo unalolipenda zaidi kuliko lile unalolijua!!?... Unaweza kuwa na maswali mengi sana juu ya kauli iliyotajwa hapo juu. Usiwe na shaka kwani majibu ya maswali yako...
1 Reactions
1 Replies
318 Views
Kampuni ya kuonyesha Filamu ya Netflix imetajwa kwa awamu ya pili kuachisha kazi takriban wafanyakazi 300 kama namna ya kudhibiti gharama za uendeshaji. Mnamo mwezi Mei kampuni hiyo ilipunguza...
1 Reactions
2 Replies
848 Views
Wadau naombeni movies za action hasa movies za kivita za kisasa na sio zile Karne ya 20 za kizamani nataka za kisasa. Naombeni msaada.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Rais wa awamu ya tatu Hayati Benjamini Willliam Mkapa aliwahi kusema, ukitaka kumficha mtanzania kitu chochote mfiche kwa njia ya maandishi. Sisi binafsi tunaungana na kauli hii kwa asilimia 100...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Anaejua jina lake na msanii aliyeimba aniambie unaitwaje?! Maana nimehangaika sana bila mafanikio
1 Reactions
8 Replies
998 Views
Back
Top Bottom