Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Akili ya kawaida tu,mngetaja mshindi wa tatu halafu wa Kwanza. Ama mngetaja mshindi wa pili kisha wa kwanza halafu wa tatu anajulikana tu kwa vile wapo watatu stejini. Yote kwa yote nampongeza...
1 Reactions
8 Replies
982 Views
Humu utakutana na mzee mzima herry cavill ( geralt of ravia ) jamaa ni witcher kazi yao kubwa ni kupambana na mashetani na majitu ya ajabu ili kuwalinda binadamu lakini wao wenyewe ni mutant (...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
1 ghau from ivory cost 2 vieux zengue and jack from ovory cost 3 mark angel from nigeria 4 joti from Tanzania 5 Samuel asubiojo from nigeria 6 mister big big from Tanzania 7 sidne from...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Hakika TAMTHILIA za BONGO ni PASUA KICHWA Kuna hii Tamthilia ya HUBA Imejaa UONGO wa usio na Tija kwa Watazamaji kabisa Kila Siku Wanaanzisha kitu Kipya hakina mwendelezo na Tamthilia KAMA...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mkali na legendary Paul mi namkubali sana, wasanii wengi wa zamani walisikika kisa yeye, Katika ngoma hizi ni ipi ambayo hakuinyonga vema maana tunajua beat zilizonyingi kafanya vema, hebu chagua...
7 Reactions
80 Replies
15K Views
Msaada: Ule wimbo wa utotoni unaanza BY SHOW I LOVE YOU BABY..... nahitaji mistari yake.
2 Reactions
7 Replies
993 Views
Tupac alikuwa maarufu sana, lakini B.I.G alikuwa akichana zaidi yake, kikubwa sauti ya Notorious ilikuwa na Punch sana. Hebu sikiliza hii michano kwenye mitindo huru, mwaka 1989 akiwa na miaka 17 tu.
4 Reactions
3 Replies
814 Views
Wakuu Leo kichwa Yangu Haiko Sawa Kabisa. . Naombeni Mwenye Jina Lolote la Horror movies ambazo ziko Netflix niangalie Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama unapenda mikiki ubabe na matumizi ya akili na ngumi ubaguzi imecontain mambo mengi sana mpaka maswala ya jinsia moja lakini hii acha kabisa ina ngumi hatari Kuna magenge na mapolisi nchi...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
JINA: SENYENGE MWANDISHI: CHIAMARO MOKIRI MAWASILIANO: Chiamaro.llc@gmail.com / +255 (0)763 170 858 UTANGULIZI. Maisha ya Hook Hobie yalikuwa na siri nzito aliyoificha kwa zaidi ya miaka...
8 Reactions
193 Replies
27K Views
*Kuna nyimbo nimesikiliza leo kaimba mrisho mpoto ft mbosso_-_TAUSI kwa mlio sikiliza vipi kuna chochote kinacho leta ule mfumo wake wake wa zamani wa kuwa chana viongozi kwa mafumbo?*
3 Reactions
5 Replies
2K Views
Asante Sana Chacha Maginga TBC..! Kwa kutuletea Kazi mbali mbali za Muziki ambazo Zimewahi kufanywa na Makundi mbalimbali Ya Muziki TZ na Afrika. Leo jan 11 ya 2022 Kipindi chako cha Usiku TBC...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeangalia movie kadha za kutisha ila hizi mbili ni shida 1. The NUN 2. SICCIN 2 Kama kuna nyingine unaifahamu ni kiboko zaidi nisaidie jina lake nikajipime ujasiri wangu
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Habari? Moja kwa moja kwenye mada: Jina la 'movie' silikumbuki wala 'sterling' wake. Mwalimu wa shule ya msingi ama sekondari, anampenda sana mama yake (child mother love). Kuna siku akawa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakubwa kwanza heri ya Mwaka mpya. Naomba kuuliza wadau tuangalie upande wa pili wa shilingi Katika hili; Wenye flow Nzuri wanashindanishwa na kutajwa sana so that's normal. Nauliza; Ni Rapper...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Leo zimeachiwa episode 5 za mwisho za series ya Money Heist na kufikia mwisho wa series hiyo. Ikiwa pia tupo mwezi Disemba, mwezi wa mwisho kwa mwaka huu 2021, ni series na movie gani zilikuvutia...
4 Reactions
26 Replies
3K Views
Ebana, kwenye pitapita mitandaoni nakutana na mabishano kati ya tracks mbili zimetolewa na makundi ya Weusi na wale ambao sasa wanajiita Kikosi Kazi. Naomba maoni yako kuchagua ni akina nani kati...
0 Reactions
78 Replies
10K Views
Kwa wachezaji wa call of duty mobile shusha username ako apa tuingie vitani pamoja, Join group: https://chat.whatsapp.com/Bjl73XZEOLYKIAiGTsrd4h
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama si muda kubana, tungaliona thread hii tangu jana (Ijumaa), lakini hakuna kilichoharibika, bado ni weekend so twende na hizi hapa kuanzia usiku huu... Hii itakuwa ni thread yangu ya nane...
7 Reactions
52 Replies
8K Views
Back
Top Bottom