Katika dunia hii vyuo vya makocha specific vipo? Tanzania tunavyo?
Napenda kufahamu hili maana mfumo wa kutrain coaches ninaoushuhudia unatunyima fursa wengi. Utasikia kozi Iko Mbeya mara Dar mara...
Its a very nice Series ipo based kwenye vitabu vya A Song of Ice and Fire; ni nzuri na dialogue yake ni bomba sana; inahusu mapambano ya familia (clans tofauti tofauti) wanagombania kuongoza Seven...
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
I shot the sheriff, but I did not shoot the deputy
All around in my home town
They're trying to track me down
They say they want to bring me in...
Huu mchezo unaoitwa Crate Challenge ambao video zake zimeshika kasi katika mitandao ya kijamii hususan Tik Tok na Instagram huenda, kabla haujapoteza umaarufu wake, ukawaacha watu wengi na...
*Nimejifunza kuwa wachina wanazichukia nchi za Magharibi na washirika wake kama Japani Mfano movie za JET LEE
*Nimejifunza kuwa waafrika tunakumbatia unyonyaji mfano filamu ya blood diamond...
ANAITWA LIDOX MNYAMA (#karagweboy), AMETOA WIMBO MPYA WA UNANIFAA.
PLEASE FOLLOW ME ON
LINK IS ON MY BIO ENJOY GOOD MUSIC FROM YOUR BOY #karagweboy https://instagram.com/p/CTCzov-K1Ya/...
Fast and Furious 9 'F 9' imetangazwa kuwa filamu iliyoingiza pesa nyingi zaidi kutoka kwenye majumba ya sinema toka kuanza kwa janga la Corona Virus duniani. Mpaka sasa F9 Imetengeneza dola...
MOVIE YA BECKETT
Wakiwa matembezini Ugiriki becket na Mpenzi wake april Usiku mmoja wakati becket na girlfriebd wapo ndani ya gari wakielekea sehemu ya kupumzika Ulikuwa ni umbali mrefu hivyo...
Wanajamvi,
Nimeamua kuwaza tu nmje ya box kuhusu hili tukio la leo pale daraja la Salender.
Nimeleta huku kwenye uzi wa entertainment maana huku wengi watakua na ufahamu mkubwa wa hii game...
Habari zenu wadau wapenda movies hasa zile za kutisha.
Hivi juzi Kati hapa nilicheki movie inayoitwa 'the conjuring', nilicheki sehemu ya Kwanza na ya pili.
Hii ni baada ya kupata habari zake...
HADITHI: .. JOTO LA MAPENZI
SEHEMU: 01
MTUNZI: Ally Mbetu ‘DrAmbe’
SIMU: 0713 646500
UTANGULIZI
Kutokana na wingi wa watu kuwaorodhesha kabla ya kuwaingiza kwenye kundi la Whatsapp...
Wakuu kwema?
Niende kwenye mada husika,nauliza hivi ni movie gani ulishawahi kuiangalia lakini baada ya kuisha ukajuta kwanini umeingalia kutokana na mambo ambayo umeyaona humo yanaweza kua...
Wakuu habari,
Kwa wale wapenzi wa movies za kiafrica tukutane hapa. Binafsi ni mdau wa Nigerian movies kidogo na za Ghana. This week nimeangalia My wife for Ritual ni movie nzuri sana na...
Wajumbe heshima kwenu, nina shida na biti ya waah ya nyimbo ya dangote x kofi,yeyote mwenye nayo please ashare na mimi au anipe link ila nahitaj orignal sihitaj remake,naona mtandaon nying zipo...
MWANDISHI;Moringe Jonasy
Sehemu ya Kwanza
Hali ya hewa ya jiji la Arusha jioni hii ilikuwa ya ubaridi kama kawaida yake huku upepo ukisogeza wingu dogo la mvua kuelekea upande wa kasikazini...
Wakuu kwema?
Twende kwenye mada. Mimi ni mpenzi wa horror movies tatizo za movie ni kwamba unaangalia dakika 90 mzigo umekata, sasa nataka series zile za kukesha nazo ambazo zinatisha.
Nahitaji...
Kwa uwezo alionao Olympic Lyon haikuwa hadhi yake. Kwa kuwepo kwake Barca dunia itaushuhudia uwezo wake mkubwa katika soka. Msimu umeanza tu kawaficha kina Griezmann na wenzake anaonekana ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.