Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...
Wakuu wale wapenda Hip Hop ngumu za asili mtu mzima Nas Escober ameachia album yake Kings Disease II Mwaka jana aliachia KD1 na ikafanya poa ikampatia Grammy Award kama album bora ya hip hop...
1 Reactions
0 Replies
841 Views
Wakuu ninaomba anayejua huu wimbo aniambie, unapigwa sana kwenye kipindi cha Salaam cha Voice of America kama kibwagizo. Una mahadhi ya Caribian huko. Unaanza na dancee dancee Naomba anaeujua...
1 Reactions
9 Replies
945 Views
3 Reactions
1 Replies
446 Views
Kwa ufupi huko zamani enzi za uzee wangu sikuwa kabisa mpenzi wala mtu wa mziki kabisa. Lakini mwaka 2009 au 2011 hivi ndipo nilipoanza kufuatilia na kuupenda mziki lakini, hayo yote yalikuja...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Hivi ndio wamecopy kwa wazungu ama wingi wa makaburu umechangi? Yaani kila tamthilia ya kisauzi utakayoingalia lazima wachomekee au kuweka character ya shoga mmoja Mbona kama wanahamasisha...
6 Reactions
31 Replies
5K Views
Think of it like this; everyday we wake up in the morning and have a cup of tea! A hot, steamy cup of tea! Yes! Sometimes we burn but sometimes the heat does not really affect us because we have...
0 Reactions
0 Replies
475 Views
Pole na mihangaiko ya hapa na pale ili kutafuta chapaa Tusogeze maisha basi wikiendi baada ya bata ni movie list ya movie zangu za wikiend hii ya jumapili A Gangster A Cop and Devil : ni movie...
1 Reactions
8 Replies
871 Views
Unapoandika mswada [script] kuna vitu vitatu vya msingi kuzingatia: • Muhusika (character) • Muundo (plot) • Dhamira (theme) 1. TUKIMZUNGUMZIE MUHUSIKA KWANZA Mswada wa filamu una sehemu kuu nne...
2 Reactions
5 Replies
15K Views
Salamu ndugu zangu na wakubwa shikamooni. Kutokana na kifo cha Albert Mangewa na Mez B pia kiongozi Noorah hafanyi tena music sababu za familia. Wanachemba tuko wengi sana na tunaweza chama letu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ngoma ya Kaligraph nimegundua inaongozwa kufanyiwa remix kipi kimevutia wasanii. Kama kaligraph na ye alicopy beat sehem na je original version yake Ni ipi? ngoma gani nyingine unayoijua...
0 Reactions
0 Replies
593 Views
Ni miaka mingi tunaendelea kuona movies zinazoigizwa kuhusu mazombi na mavampire kiasi kwamba watu wengi hata watoto wanaamini kama vitu hivyo vipo live na wamekariri kweli kweli. Je ni kweli...
2 Reactions
16 Replies
38K Views
intermittent explosive disorder ilimtafuna vilivyo, udogo wake hakuufaidi sababu ya maradhi hayo, hakuna aliependa kumkalia karibu bila sababu, Watoto wenzie walimtenga, wazazi wake wakamshindwa...
5 Reactions
3 Replies
991 Views
Binafsi hawa ni ma legends ninaowakubali 1. Avenged sevenfold 2. Death punch 3. Nickeblack. Haya nawewe tupiamo hapa ngoma ya heavy metal ili tupate na experience na pia ni mwanamuziki gani unamu...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomben mnitajie list ya movie kali za kihalifu au kihuni kama hizi nlizowah kuziona mimi. -Living Pablo -Narcos season -El Mariachi...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakati mwengine ukweli usemwe, nilikua nadhani mziki wetu umepoteza dira kwasababu ya kiki, skendo na mambo mengine yasiokua na maana na tena yanaharibu kabisa watoto wetu huko uswahilini. Tokea...
2 Reactions
25 Replies
5K Views
Hivi mshikaji hela anazo invest kwenye videos zake zinarudigi kweli? Mfano kwenye inama, Waah!! Unaona kabisa hapa hela ilotumika si ya kitoto... Video ya IYO ndio balaa, kwanza kuna scenes...
14 Reactions
49 Replies
8K Views
Wadau Niandkie Playlist Ya nyimbo zako kali Yani zile Unaziskiliza Nonstop Usipite bila kutaja ngoma kali unazozikubali mda woteee
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Mwanadada mmoja alikuwa na tatizo flani yaani anashindwa kujicontrol kwahiyo mpaka aipige shoti yaani kuna kifaa kimeunganishws kutoka kwenye mgongo kwahiyo akihisi awezi jikontrol anabofya kitufe...
4 Reactions
3 Replies
997 Views
Nimetafuta kwenye mitandao lakini wapi nakutana na trailer hii movie ni kali Walianza seting tokea 2018 Lakin nashangaa mpaka leo sijaipata Full movie Mwenye anajua namna ya kuipata anijuze na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya kuiangalia hii video kwa mda mrefu nimeona leo nitoe dukuduku langu moyoni, hii video hadi sasa imefikisha views millioni 750 youtube, wameishoot Uganda uswazi kabisa Yaani ukiiangalia...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom