Hii series nlianza ingalia Netflix season one. Bahati nzuri nlikuwa nmeisha idownload. Nikarudi kuendelea na nyingine nikakuta wameisha iondoa. Nikalazimika ku download kupitia torrents.
Ni nzuri...
Kuna msanii anaibukia anaitwa Quanta Sage anaimba rap and he actually is giving this type of music the right thing.
Jamaa kwa nilivyomfuatilia anatokea Mwanza na ameshatoa collabo kadhaa na ngoma...
Intro: Nviiri the Storyteller
(Ohh, mmh)
Ohh
What a waste
Oh, Lord
The Storyteller, ayy
Verse 1: Nviiri the Storyteller
What a waste
Baby tumejiseti, we on the highway
Tukafunga breki, tukaanza...
SEHEMU YA 01
SAA nane usiku jini Nargis aliamka na kukaa kitako akiliangalia tumbo lake lililokuwa kubwa na kubakiza siku chache za kujifungua, alilipapasa taratibu kwa kuzungusha mkono pembeni...
Kwa karne hii ya 20/21 wimbo huu wa Lucky Dube umefunika.
Mwanangu P akikua na kuniambia anataka kuwa Rastafarian nitamsapoti, hii dini imejaa watu wasio na unafiki.
These people are very clever.
Hii series ndio nimetoka kuimalizia ilitengenezwa 2018 na ni moja kati ya series bora sana.
Imetengenezwa na JTBC huku ikipata wastani wa ratings 12.5% huku episode ya 20 ikiwa na ratings ya...
Habar wadau !!! Jana usiku nilipata wasaha kuchek hii movie old guard aisee km ni swala la movie nasema sema wazungu wametuacha mbali sn kuanzia story ilivyotungwa camera actions na hata maongez...
James alikuwa ndio kwanza amemaliza elimu yake ya kidato cha sita, akiwa anangojea matokeo akaamua kutoka kwao kijijini na kutembelea mjini ili angalau aone dunia invyokwenda, pia aliamini mjini...
Kuna kipindi nilikua bado sijakuwa mkubwa nilikuwa nikitazama TV asubuhi hasa ITV ndo nilikuwa naipenda sana home unakuta nyimbo flani zinarudiwa kila siku.
Mtaji wa Maskini ya Banza Stone, Elimu...
Habari zenu wakubwa, kuna nyimbo ya kitambo kidogo nimeitafuta bila mafanikio mwenye nayo hebu share nami.
************************************************
Ngoma imepatikana hiyo wazee
Jina la...
Salamu!
Kama Kichwa Cha Habari Kinavyouliza, Je Ni Movie Au Filamu Gani Ulishawahi Kuitazama Ambayo Star Wake Alikufa Ikiwa Ni Sehemu Ya Story Ya Filamu Hiyo?
Kwa ukweli mimi kama mdau wa movies nikiri kuwa kuna waigizaji au waongoza movies ni magenious, ni talented haswa na hii hufanya nifuatilie sana kazi zao kwa sababu wanajua nn wanafanya. Kati ya...
Habari wana jamvi,leo jioni itakua siku nyingine chungu kwa mashabiki wa Simba SC,Kaizer anaenda kutoa kipigo kingine kama sio kinachofanana na kilichopita (4G) basi chini kidogo ya kipigo...
Hapa Tanzania/Bongo kuna watu wanakuwa maarufu kwa kipindi fulani(trend) kutokana na harakati zao za maisha kama vile muziki,fulani,sasa, vichekesho na kadhalika. Mitano michache ni marehemu Dr...
Habarini JF.
Kwa kitendo hivhi kinachoondelea kiukweli hakuna pale msanii yaani WIMBO mbovu saana Tena saana.
Tatizo anamuiga sana ZUCHU na manajiment Yake kiujumla bado inawawaza sana WCB...
Leo Nandy ana jambo lake, atakuwa Clouds FM akisindikizwa na baadhi ya wasanii.
Jukwaa limetengenezwa eneo la kuegesha magari, pamependeza sana.
Jambo lenyewe linatarajiwa kuanza mishale ya saa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.