Ahlan wasahlan wanajamvi,
Hopefully mko poa.
Ni yule yule mzee wa kuumiza gonamwitu a.k.a Santiago Pandamunio a.k.a Masokolindo Mavi ya Kuku.
Back to the topic. Kiukweli kunako viunga vya WCB...
DEDICATED TO IBRA87 RIP, Inspired by true story.
UTANGULIZI
Katika maisha mapambano hayaepukiki,Wakati wa kutunga mimba mbegu moja ya kiume hupambana na zingine milioni 45 kurutubisha yai...
Nigeria ni nchi ambayo imeendelea sana ukiacha maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwenye upande wa burudani wapo vizuri.
Wanaijeria ndo wameshikilia soko la muziki na filamu Afrika nzima.
Wana...
Nashukuru sana uongozi wa serikali ya wanafunzi wa chuo cha Usimamizi wa Fedha IFM kwa kunialika kama mgeni rasmi. Leo katika Matembezi ya Amani na wanafunzi wa vyuo kupinga dhana potofu kwa...
Miaka mingi imepita na siku nazo kusonga tangu Familia ya Mr Spafford aliyeishi huko Chicago Marekani kupatwa na dhoruba na mtikisiko mkubwa na huzuni kuu isiyo na kifani.
Mr Spafford alikuwa...
ONYO
Hairuhusiwi chini ya miaka 20
UTANGULIZI
Kinukamito, ni mwanamke asiyedumu katika mahusiano au ndoa kutokana na sababu mbali mbali. Kusema ni mwanamke ambaye hudhaniwa ana mkosi kutokudumu...
Habari wana JF!
Please, kama kuna mtu ana kile kibao cha yule mwanamuziki Munishi kinachoitwa CCM naomba anipatie hapa.
Yule jamaa yupo wapi siku hizi?
"miss sana yule mtu"
Huu wimbo ni mzuri na nimeusikiliza japo Diamond Platnumz kaimba sehemu ndogo sana peke yake, ila sehemu kubwa kafanya Back-Vocals. Mwanzo mzuri kwake na natumai atatumia nafasi hii kujinoa vizuri...
Kuna Madogo flan walikuwa sijui mapacha,walikuwa maarufu sana kwa ku burn cd ,yaani tulikuwa tunajazana pale kusikilize cd zetu,kijiwe hicho hicho alikuwa anashida sana Linex akiwa hana hata 100...
PLEASE THIS SPECIAL SONG IS TO WISH "HAPPY BIRTHDAY" TO ANYONE, Enjoy it.
Welcome to my New animated video song Live for "HAPPY BIRTHDAY" to wish our friends.
Ijumaa ya tarehe 18 mwezi huu wa 9 inatarajiwa kutoka Album ya mwanamuziki nguli kutoka nchini marekani, Alicia Keys. Album hii itakuwa ni Studio Album ya 7 kutoka kwa mwanamuziki Alicia Keys...
Habari zenu wakuu bila shaka mpo fresh kiafya.
Kwa wale wataalamu na wenye ufahamu kuhusu muziki naomba mje tusaidiane hapa kidogo ni hivi.
Wanatumia kigezo gani kusema nyimbo flani imekuwa...
Jamaaa namkubali Sana'a Sana'a anainspire vijana wengi but mbona kama anafifia hivi, ngoma hiz tatu zilizotoka hivi karibuni mbili akishirikishwa
Nyie mnaonajeee
Rapper wa Kike Rosa Ree amefanikiwa kuwepo katika orodha ya wasanii wanaowania tuzo za AFRIMMA Mwaka huu,
Amechaguliwa kuwania vipengele viwili ambavyo ni
Mwanamuziki bora wa kike Afrika...
..Alikuwa mtaani..ndani ya orleans..hakuijua kula yake kama maskini wengine wa pale...akayakubali hayo..akayaishi maisha yake..
..Douglass binder..pamoja na hali yake ya kukosa mahitaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.