Sio maujanja kama wanadada wa vyuoni kusoma mchana wanafanya uchangudoa jioni
kisha wana-act kama virgin in the morning
Ili picha uipate ficha flash wasiione
Wengi hawa graduate na A wana...
Mwandishi: Badi.M.Bao
Baruapepe:badi.bao11@gmail.com
Riwaya zake mtaani: "CABO-DELGADO' na "MSAKO MWEHU"
SEHEMU-01
SURA YA KWANZA.
Ilikuwa ni adhuhuri mwanana, ikichagizwa na upepo wenye kasi ya...
MHESHIMIWA THE DON
DAVID NGOCHO SAMSON
~1~
Geofrey Mtemvu alikulia katika familia yenye uwezo ya Mzee Ally Magubi Mtemvu baada ya wazazi wake kumtelekeza kwa kukosa uwezo wa kumlea. Alichukuliwa...
Wana bodi habarini...?
Hili naliona kutokana na WASAFI TV, kuja kwa kasi na kdhihirisha kuwa ndo redio pendwa currently, kwa kuwa na vipindi vya Moto kama BIG SUNDAY LIVE,booonge moja la kipindi...
Habari ndugu na marafiki,
Wimbo mkali sana bado upo jikoni unasukwa vilivyo na Msanii: EllySkyWilly
Hiki hapa ni kionjo chake tu.
Pia unaweza kuusikiliza youtube kwa mbaliii upate walau...
Wadau hebu tujuzane je hizi studio na nyinginezo zimeishia wapi?
1. Wananchi video Production
2. Silk production
3. 2 eyes production
4. Sofia Recordz
5. Pasu kwa Pasu Recordz
6. n.k n.k (ongezea)
✓kutokana na wadau wengi kuiponda album ya Burna Boy, na wengine kwenda mbali na kusema Ina bebwa na promo kubwa ya P. Diddy na was sio nyimbo zilizomo ndanibya album.
✓lakini pia Kuna wadau...
TITLE: DOKTA IVO
MTUNZI: JOTO LA MOTO
SEHEMU YA KWANZA
NJE-KUNDUCHI BEACH HOTEL-KWENYE BWAWA LA KUOGELEA-MCHANA.
KAZI, kijana mtanashati, miaka 35,akiwa amevalia bukta ndefu ya bluu iliyobana...
Habari wapenzi wa burudani nimeona nilete kwenu hii issue nimetizama movies nyingi kiasi zikiwemo za hbo huko mambo ni mazito kidogo yaani ukiwa unacheck movies zake inabidi uwe peke yako au uwe...
Habari za muda huu wakuu..I hope mko poa..
TVE wana kipindi kinaitwa "Za Leo", hiki kipindi ukikiingalia Content yake au entire Idea inafanana na ile ya Kipindi cha Refresh kinachorukaga Wasafi...
AFRIMMA imetoa list ya wanamuziki wa kupewa tuzo mwaka huu; mojawapo ni artist of the year. Sasa mwanamuziki Master KG wa south Africa, wimbo wake wa Jerusalema ni maarufu sana duniani kote sasa...
Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapa
Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema
"Tena wasipoteze muda kwa...
Moja kwa moja kwenye mada.
Kuna kipindi nakiskiliza muda huu saa 2315 cha muziki, aisee hao watangazaji wenu sijui mmewatoa wapi yani inaonyesha ni ma newbie sana ni dizain kama ya wale...
Wakuu hii nyimbo nitaipata vipi ? "Najua nafsi yako inatamani sana inasubiri ahadi yetu kuwa bibi na bwana,siku zinavyozidi kwenda dhiki inazidi tuandama na lengo letu linazidi kushindikana...."...
Kwanza nimeshindwa kuamini nilipo iona hiyo clip kwa mara ya kwanza Maana mkono wa huyo mama unatereza juu ya nyuzi za gita kama moja ya mikono ya wale viumbe walioumbwa pamoja na lusifa
Sasa...
Wakuu habari za mihangaiko.
Bila kupoteza muda huyu jamaa naona sasa amekua sana kiakili na anafikiria zaidi maisha naona hataki tena kurudia makosa baada ya kupoteza 600M.
Hizi ni kazi zake za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.